Others
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,189
- 2,765
Huu ni UFWALA.Kuna tetesi niliskia et kuwa ukienda pima DNA lazima tu matokeo yatakuja kuwa "ww ndio baba" lengo lao likiwa ni kupunguza watoto yatima sijui haki za mama na mtoto blah blah.. Kuna ukweli hapa?