Huu ni UFWALA.Kuna tetesi niliskia et kuwa ukienda pima DNA lazima tu matokeo yatakuja kuwa "ww ndio baba" lengo lao likiwa ni kupunguza watoto yatima sijui haki za mama na mtoto blah blah.. Kuna ukweli hapa?
Hapa BrazaKaka ulipigwa na "Kitu Kizito" kichwani Asubuhi sana... Pole aisee!! Tumalizie ikawaje sasa!?Kuna mmoja hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulikutana mahusiano yalikuwa mafupi sana.
Sasa kuna siku akanitunuku tunda yani tume vurugana kama bao 3 hivi, baada ya kumalizaa naona mtu kanuna yani haongeiii anadai anasikia kichefu chefu. Nikamwambia shida ni nini? Alicho nijibuu ndo nili choka.
Akadaii mimba imeingiaa tayarii ndo maana anajisikia vibaya kila dakika, nikamuuliza umejua wakati ndo kwanza ni leo.
[emoji23][emoji23][emoji23] akasema yeye nimtaalamu anajua kuanzia day one.. Nikamuuliza so hapa mimba imezama akasea ndiooo nijiandaee kuwa baba. [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hiyoo nilibaki mdomo wazii
Sent using mt4 app
Nimefanikiwa kuchomoa kabisa mawasiliano naye namshukuru MunguMkuu hata leo tarehe 13 January kanipigia na sms kwa nini nimeblock
mtoto kabisa kafanana na mfunga buti lkn naambiwa wangu la sivyo vitu sipewi
maana nilimpa masharti tuendelee na wizi wetu tukjikinga magonjwa amekataa anadai nilee na mtoto, nina daiwa Ada watoto wangu wawili Primary E/Medium
sijui mnanishaurije, vitu vyake bomba lkn kwanza mtoto juzi kati 2021 nilirudia kidogo tujisahau nikachomoa mpaka leo, huenda ataniloga
rikiboy
Safi sanaNimefanikiwa kuchomoa kabisa mawasiliano naye namshukuru Mungu
Wanazingua sana, mmoja tulifanya Ijumaa jioni, kufika Jumapili ile siku Nchimbi anafunga hat trick akiwa polisi mechi ya polisi na Yanga, demu ananiambia nimjamzito. Nilimwambia aache ujinga na nikavunja wahusiano+mawasikiano, nilimwona tapeli.Habari zenu ndugu?
Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.
Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.
Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.
Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.
2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?
3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.
4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwanini akasema "basi tu"
Then two weeks ago ananambia ana ujauzito wangu, nashindwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwani vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kuwa hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.
So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Kuna mmoja hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulikutana mahusiano yalikuwa mafupi sana.
Sasa kuna siku akanitunuku tunda yani tume vurugana kama bao 3 hivi, baada ya kumalizaa naona mtu kanuna yani haongeiii anadai anasikia kichefu chefu. Nikamwambia shida ni nini? Alicho nijibuu ndo nili choka.
Akadaii mimba imeingiaa tayarii ndo maana anajisikia vibaya kila dakika, nikamuuliza umejua wakati ndo kwanza ni leo.
[emoji23][emoji23][emoji23] akasema yeye nimtaalamu anajua kuanzia day one.. Nikamuuliza so hapa mimba imezama akasea ndiooo nijiandaee kuwa baba. [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hiyoo nilibaki mdomo wazii
Sent using mt4 app
Itoshe kusema mtoto sio wakounaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine?