Ulishawahi kutokumuamini mpenzi wako japo hajakuonesha dalili yoyote ya usaliti?

Ulishawahi kutokumuamini mpenzi wako japo hajakuonesha dalili yoyote ya usaliti?

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Yaani una date na mdada fulani hajawahi kukuonyesha dalili yeyote ya kucheat wala hujapata aina yeyote ya ushaidi lakini moyo wako haumwamini hata kidogo unahisi tu sio mwaminifu, anaweza kuwa na simu yake mara kwa mara ukapekuwa kila kitu na bado tu moyo wako ukakwambia hapana kuna kitu hakipo sawa!

Je, Ushawahi kupitia hali hii kwenye mahusiano na ulipita vipi hiyo hali?

Karibu tu share uzoefu
 
Hiyo ni insecurity. Kutokujiamini.
Mwanaume usipojiamini mtoto wa kike lazima akudharau.

Lakin pia inatwa guts feelings au machale. Maybe yes kuna jambo. Lakin relax.. with time utagundua ukweli

Yes mkuu nadhani umenielewa yaani ni hali ya kuhisi kwamba kuna kitu tu hakipo sawa japo hujaona dalili yeyote mbaya
 
Jitahidi kutafita hela kijana uje ge maisha yako .. wanawake hawaeleweki kiujumla .. pia jifunze kutokupenda buli uwe unapendwa weka mguu ndani mguu nje

Aliyekwambia sina pesa ni nani mkuu? Acha kukariri maisha
 
Back
Top Bottom