Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asikilize hii hapaWashauri wenyewe mmeshachanganyikiwa
Umelitendea haki jina lakoHiyo ni insecurity. Kutokujiamini.
Mwanaume usipojiamini mtoto wa kike lazima akudharau.
Lakin pia inatwa guts feelings au machale. Maybe yes kuna jambo. Lakin relax.. with time utagundua ukweli
Washauri tupo fiti, tupo standby tunasubiri kesi za wapendanao
Wanawake wapuuzi sana mkuu.Pia huwezi kumpiga mtu chini bila sababu mkuu ni lazima kuwepo na sababu maalumu
Kifupi tuu ndo zangu mie!! huwa napiga simu kabisaaaa ''hoya nakuja niko chalinze hapa pika kabisa!! nakuja kula nina njaa''! basi anafurahiiiii!! anaweka nakalimbwata kake! kwa raha zake wajameni wanaume tunarogwa sana!Yaani una date na mdada fulani hajawahi kukuonyesha dalili yeyote ya kucheat wala hujapata aina yeyote ya ushaidi lakini moyo wako haumwamini hata kidogo unahisi tu sio mwaminifu, anaweza kuwa na simu yake mara kwa mara ukapekuwa kila kitu na bado tu moyo wako ukakwambia hapana kuna kitu hakipo sawa!
Je, Ushawahi kupitia hali hii kwenye mahusiano na ulipita vipi hiyo hali?
Karibu tu share uzoefu
mlishaambiwa ishini nao kwa akili wewe bado unalialia hapa!mfyuuuxxcxcx!! mnaboa sana!!! wafanye hao kuwa km midoli tu!!....ata likinyeshewa hapo sawa tu!! utaliingiza ndani mvua ikiisha!!Wanawake wapuuzi sana mkuu.
Mhhhh!!!, Mbona ume over react??mlishaambiwa ishini nao kwa akili wewe bado unalialia hapa!mfyuuuxxcxcx!! mnaboa sana!!! wafanye hao kuwa km midoli tu!!....ata likinyeshewa hapo sawa tu!! utaliingiza ndani mvua ikiisha!!
hata likienda na maji ya mvua relux utalikuta msimbazi huko! libebe tena ukiliona! usipoliona jua tu limdoli langu lilipotea na maji ya mvua! basi...
Ndiyo!! mnamsumbua Mungu sana bana! yaani ungekuwa karibu ningekupiga kibao mpaka uyambe kifukuto! mtu gani me huelewe!! Tangu Mungu amesema ni miaka mingapi leo?Mhhhh!!!, Mbona ume over react??
Wote wanashindwa kukuambia kweli homeboy huyo sio chaguo lako tatizo ulilokuwa halo ni tamaaa za kimwili tu hapo unamtafutia chance akikuzingua unammwaga (aliye chaguo lako uwezi kuoomba ushauri huo point wewe gonga ukimchoka mkimbize simple tu homeboy )
Trust me!! Hizo feelings mara nyingi huwa zina ukweli......mara nyingi huwa zina ukweli....
Utaniamini siku utakapomuamini.
Kifupi mwanamke hachunguziki. Binafsi huwa namwambia tu linda heshima yako ili niheshimike basi. Simu yake ni ya kagoli ketu. Ikiita yuko mbali napokea, naongea na mteja, basi.Yaani una date na mdada fulani hajawahi kukuonyesha dalili yeyote ya kucheat wala hujapata aina yeyote ya ushaidi lakini moyo wako haumwamini hata kidogo unahisi tu sio mwaminifu, anaweza kuwa na simu yake mara kwa mara ukapekuwa kila kitu na bado tu moyo wako ukakwambia hapana kuna kitu hakipo sawa!
Je, Ushawahi kupitia hali hii kwenye mahusiano na ulipita vipi hiyo hali?
Karibu tu share uzoefu