positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
Ha ha ha ha hakuna shida mkuuItabidi tuwe marafiki mkuu ili na mimi niwe nanufaika kwa kuiazima iyo kitu maana ni ulevi wangu mkubwa mno
jamaa kwa huu mzuka si utampiga changa huyo mwenzako! nna mashaka na wewe unaweza ukaazimwa hlf usirejeshe tena...Itabidi tuwe marafiki mkuu ili na mimi niwe nanufaika kwa kuiazima iyo kitu maana ni ulevi wangu mkubwa mno
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kazi unayo.Aisee sio mchezo Mimi addiction yangu ni kuchart sana ujumbe mfupi wa maneno huwa silalagi kabisa usiku kucha