Ulishawahi kuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu na mtu usiyempenda?

Mimi hapa,
Niko kwny mahusiano na Mchepuko wangu, mwaka wa 3 Sasa ila simpendi kabisa kutoka moyoni wala Nini.

Ila niko nae kwasababu ananifikisha vizur kileleni, Tena Raha mustarehe kabisa and not otherwise [emoji4]
Vp mpalange anakupa nini haha..coz najua wife huwez muomba
 
Muda mrefu ..sijawahi na siwezi
 
Yaan Iko hivi, anirekebishe tu lakin kama anaona Hani feel Tena ajaribu tu kuniacha kiume,,,loooh inauma jaman mtu akuambie kabisa eti mm sikupendi Tena Bora apunguze mazoea then nitajiongeza...mapenzi hayajawahi acha watu salama
inaelekea mtu akikwambia hivyo hushindwi kumwagia maji ya moto
 
Duuuuuh
 
Daaaaaaahhh๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ ama kweli moyo wako umekuwa wa baridi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ