Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Vp mpalange anakupa nini haha..coz najua wife huwez muombaMimi hapa,
Niko kwny mahusiano na Mchepuko wangu, mwaka wa 3 Sasa ila simpendi kabisa kutoka moyoni wala Nini.
Ila niko nae kwasababu ananifikisha vizur kileleni, Tena Raha mustarehe kabisa and not otherwise [emoji4]
Tunataka papuchiAcha Porojo Hamjui Mnachotaka
Sipendelei hizo mkuu[emoji4]Vp mpalange anakupa nini haha..coz najua wife huwez muomba
Kwahiyo mkipewa hiyo hata mwanamke awe mhuni mlevi Kwenu fresh tu etiTunataka papuchi
Wanaume Wanateswa na Mapenzi kisa Huruma. Mwanamke huwa Huruma Hana Ana Imani tu
inaelekea mtu akikwambia hivyo hushindwi kumwagia maji ya motoYaan Iko hivi, anirekebishe tu lakin kama anaona Hani feel Tena ajaribu tu kuniacha kiume,,,loooh inauma jaman mtu akuambie kabisa eti mm sikupendi Tena Bora apunguze mazoea then nitajiongeza...mapenzi hayajawahi acha watu salama
Tunaishi tofauti,na mnaishi pamoja?
Mbona kama una maisha magumu sana ndugu.
Hizo nguvu nitazitoa wapi? Hapo nitalegea kbsa unless uniambie sikumuweka moyoniinaelekea mtu akikwambia hivyo hushindwi kumwagia maji ya moto
DuuuuuhHabari wa JF.
Mwezi wa tatu unakimbia kwa kasi sana.
Hivi ulishawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu usiyempenda kabisa tena kwa muda mrefu. Au hata kuingia naye kwenye ndoa.
Binafsi ishanitokea nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke ambaye sikuvutiwa naye. Kama ilivyo slogan yangu huwa nahuruma sana. Usumbufu wa mwanamke unaweza kunifanya nibadiri jibu hapana kuwa ndio sababu tu ya huruma.
Nakumbuka nilishawahi kumtongoza mwanamke ambaye tuseme nilimtamani kwa muda mfupi. Ila nilikuja kugundua sikuwa nimempenda. Nimedumu naye kwenye mahusiano miezi miwili tu. Mwisho wa siku nikaona kama namuumiza na kumpotezea muda. Nikaamua nimweleze ukweli japo aliumia sana.
Aliniomba nimpe muda atanifanya nimpende na niwe na hisia naye. Lakini nilimsihi yakuwa sitaki kuendelea kumuumiza.
Ndipo ukawa mwisho wa mimi na yeye.
Je, nawe ishakukuta au kukutokea hii..?
Daaaaaaahhh๐๐๐๐๐ ama kweli moyo wako umekuwa wa baridi๐ง๐๐ข๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ง๐ข๐ญ๐จ๐ค๐๐ ๐ฆ๐ฉ๐๐ค๐ ๐ฌ๐๐ฌ๐ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฐ๐ 5 ๐ฒ๐๐๐ง๐ข ๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐๐ฆ๐๐ค๐จ๐ฆ๐๐ ๐ญ๐ฎ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐๐ฆ๐ข๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ญ๐๐ฆ๐ฎ๐จ๐ ๐ฒ๐ฎ๐ฉ๐จ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ค๐๐ง๐ข๐ฌ๐ ๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐จ๐ค๐จ๐ฅ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐ ๐ฐ๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ญ๐ฎ,
๐ง๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ง๐ข๐ณ๐ข๐ง๐๐ข๐ค๐ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฉ๐๐ญ๐ ๐๐๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ข๐ง๐๐ฒ๐๐ฆ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ฆ๐๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐๐ง๐จ ๐ก๐๐ฒ๐๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฅ๐๐ณ๐ข๐ฆ๐ ๐๐๐ฆ๐ฎ ๐๐ญ๐๐ฃ๐ข๐ฏ๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ ๐ ๐ญ๐ฎ๐ญ๐๐๐๐ก๐ ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ฉ๐๐ค๐ ๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ก๐จ๐ค๐ ๐ฃ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐ก๐๐ฅ๐ข ๐ฆ๐จ๐ฒ๐จ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ก๐๐ฎ๐ง๐ ๐ก๐ข๐ฌ๐ข๐ ๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐จ๐ฆ๐๐
diSasa kama unakuwa na utashi wa kuamua uwe na yupi ilikuwaje ukafata huyo wa kufunga na kuomba wakati hisia huna
SahihiWanaume Wanateswa na Mapenzi kisa Huruma. Mwanamke huwa hana Huruma Ana Imani tu