Mimi nimeoa na ndoa yangu inamiaka 6 nilipata majaribu katika mwaka wa pili na kucheat mara moja tu na binti ambaye hata siku ya hukumu naweza kusamehewa kutokana na alivyoumbika. Ila nimeungama sasa sifikirii kucheat.
Ndoa ina muda gani Noname?
Sijui jinsi ya kuweka poll hapa, hope mods will do the needful.
Naomba tu kujua wangapi humu kama wako kwenye ndoa na kwa umri wa ndoa zao wameshaengage in sexual activities na watu tofauti na wenza wao. (cheating). Na pia kwa wale ambao ni singles, wangapi wamesha cheat na waume au wake za watu? Kuweni free tu ili tujue statistics za hapa Tz kwenye hili swala, tusibishanie maneno. Kwa vile wengi sana wanasema its normal to cheat i hope hatutaogopa kuvote hapa.
Kwa mfano. kama wewe ni single sema "mimi ni single sijawahi au nimewahi kucheat na mke au mume wamtu"
kama wewe ni married sema ' Mimi ni married na nimesha wahi kucheat mara kadhaa"
Pia addition information unaweza kutueleza uliewahi kucheat naye ni same person au different people over a certain time, hata sababu zilizokupelekea kucheat pia would be appreciated. Je spouse wako alijua, aliwahi kuhisi au amelala usingizi wa pono, yani hajui kinachoendelea.
Tuwe wakweli basi. thanks.
Takwimu zinaonesha kuwa mwaka 2000 watoto waliopimwa DNA 60% wazazi wao wa kiume sio halisi, wake zao wamewabambikia
Completed 3 yrs MJ
Mimi nimeoa na ndoa yangu inamiaka 6 nilipata majaribu katika mwaka wa pili na kucheat mara moja tu na binti ambaye hata siku ya hukumu naweza kusamehewa kutokana na alivyoumbika. Ila nimeungama sasa sifikirii kucheat.
Hivi kuna mtu ambae ha-cheat ktk dunia hii? Nadhani jibu limepatikana hapo toka kwangu...wapo kabisa....
Mimi Nimeoa. Ndoa yangu ina miaka kumi.
Kabla sijaoa nimeshawahi kumcheat mchumba wangu kwa wasichana wengi
Ndani ya ndoa nimeshacheat na wasichana kadhaa,
Sijawahi kucheat na mke wa mtu (labda kama kati ya hao kadhaa kuna kadhaa walionidanganya kuwa hawajaolewa), wala na mwanafuzi wa praimare au sekandari, wala na mwanamke aliyenizidi umri.
Ahsanteni kwa kunisoma................:target:
Hahahahaha!ur very wonderfully man...wewe ni mkweli sana..hope huta-confess haya kwa mama watoto
mbona hatuelewani hapa? swali limeeleweka? wapi niliposema ni wanaume tu ndo wanacheat/ rejea post yangu kisha unijibu. ni wapi niliposema nilicheat nilipokuwa single?ila kabla sijaolewa nilikuwan relatioship na single person just like i was and not married person. kumbe ndo maana watu wanafail mitihani aisee. mimi nimesema sijacheat tangu niolewe, whats wrong with that? wapi nimemhukumu mtu?Carmel Samaha mbona suala la kucheat unangalia kwa mlengo wa upande wa wanaume tu?Wakati mpaka hivi tunavyoongea asilimia 75% ya watoto wazaliwao leo ukiwapima DNA si wa wababa wanaosemwa na kuwa ni wao?
Pia kwa nini wewe umejiweka mtakatifu kuwa hujawahi kucheat na badala yake unasema ulicheat ukiwa single?
Tatu unasema kuwa unatafuta takwimu lakini pindi mtoa hoja anajibu wewe unakuwa na hukumu ya mojamoja kwa moja kuwa alitenda vibaya?
Anyway nawe pia twambie umcheat mara ngapi na jaribu kuwa mkweli kama unataka utafiti wako ufanikiwe.
Kweli wapo ingawa hamna asiyetamani kucheat one day. wasiocheat ama wanakuwa bound na maadili au dini au uoga wa disease, au waif/husband kushtukia au hawajui kutongoza, au hawajapata hiyo opportunity. Ila ukweli ni kwamba wengi wanatamani siku 1 wabadili mboga. Alaaa...
ha haaaaaaaaaa, kwa hiyo umeacha siyo, na hiyo ni baada ya mtarimbo kulala doro otherwise ungekuwa unaendelea. lol
Tuendelee ku-vote, am stepping outside kidogo.
btw: wapi Geof? Kaizer? De novo?....................... ladies vipi, mmeingia mitini? kweli hapa pagumu.
Nimekusoma komredi, kwahiyo bado unaendelea kucheat au umeacha kama mimi?carmel, jibu nadhani umeshalipata, ni kwamba waliosoma hii mada na wakaa kimya ni kwamba wote wamewahi ku-cheat!! Period!
Kweli wapo ingawa hamna asiyetamani kucheat one day. wasiocheat ama wanakuwa bound na maadili au dini au uoga wa disease, au waif/husband kushtukia au hawajui kutongoza, au hawajapata hiyo opportunity. Ila ukweli ni kwamba wengi wanatamani siku 1 wabadili mboga. Alaaa...
ur very wonderfully man...wewe ni mkweli sana..hope huta-confess haya kwa mama watoto
Huyu nae katokea wapi jamani? kama kila mtu angeconcetrate kwenye maisha yake jukwaa hili linge exist? kwani umelazimishwa hata kusoma leave alone ku comment? give me a break, niwapekue ili iweje? nakujua wewe kwani. hebu tazama mnavyoishi kwa mashaka, that alone tells alot about you.Halafu watu wakishakwambia kweli ndiyo iweje? Concentrate kwenye maisha yako badala ya kutaka kufuatilia maisha yasiyokuhusu? Umetumwa kuwapekua pekua watu hapa? Watu wengine bwana!!!!!
me sijawahi kucheat mume wa mtu na nina bikira yangu na nina mchumba tunasubili mpa siku ya ndoa ndo tule tunda
Nimekusoma komredi, kwahiyo bado unaendelea kucheat au umeacha kama mimi?
unaweza kuanzisha mada na wewe kisha ukaweka maswali unayotaka yajibiwe na ntakuja kuyajibu huko kwenye thread yako. kama hujisikii kujibu unaweza pita kimyakimya, sio wewe tena kunitngia mimi cha kuuliza.Demonstration is a good teaching methgodology. Utakuwa muungwana kama utaanza kujieleza yote hayo uliyosma kwamba wewe umekaa vipi. Elezea hao ulio nao wa nje (kama unao) wangapi umeenda nao pekupeku na kwa mazingira yepi na mara ngapi. Hapo tutajua consistence yako. Utengeneze questionnaire fupi inayoonyesha majibu uyatakayo hata kama sio lazima majina kuonekana