Ngumu kwako wewe. If you have open mindset with no insecurities mbona kawaida tu, Maisha yanaendelea bila worries.Umemkuta mumeo na rafiki wa kike au unaongea nadharia tu? Let's be realistic jamani, hii kitu ni ngumu ku-maintain watu wakiingia kwenye ndoa. Kila mtu anatamani kuwa na mtu wake peke yako...
Sidhani kama ni sawa kuwalaumu wanaoshindwa, watu tupo tofauti ndio maana kwako ni sawa na kwangu sio sawa. Muhimu ni kuheshimu maamuzi ya huyo mwanamke, hata mimi kama wife ana rafiki wa kushibana nitamwambia waache mara moja, hakunaga urafiki wa me na ke just like that, end of it watamegana, na umeona hapa watu wametoa shuhuda zao.Ngumu kwako wewe. If you have open mindset with no insecurities mbona kawaida tu, Maisha yanaendelea bila worries.
Sana tu.Ulikuwa unampenda
Kumbe huwa mna wachukulia kama mashoga zenu...asee!!Sikuwahi mtamani, sababu ule ushkaji na ukaribu tuliokuwa nayo nlikuwa namwona Kama Mwanamke mwenzangu sometimes. Nikiskia mrejesho wa mdinyo ilikuwa Ni siku ya kicheko.
Pindi la DS mule MH mnakaa wote mnatosha daaah shule hizi...!Umenikumbusha msh'kaji wangu G,daah!!! Tulikuwa zaidi ya marafiki buanaa pale SJUT Dodoma,.yaani ni yule msh'kaji ambaye akisafiri akachelewa kurudi chuo na assignments zinatakiwa basi nakesha Google namfanyia na namkusanyia kabisaa and likewise,.mmoja kati yetu akiwa na changamoto yoyote ile hata ya mahusiano basi tutaumia wote,hadi kupiga [emoji482][emoji482] tupo wote in short tulikuwa karibu kuliko tulivyokuwa na wapenzi wetu,.
Sijui kwann urafiki wetu ulikuja kuisha namna ile [emoji17]ila najua ulikuwa damu yangu kinyama,.popote ulipo nakutakia tuu yenye kheir,tulibebana sanaa G,. anyway one love [emoji177]
Unakuwaje na rafiki wakike yaani sielewi, naona tu mashoga ndo wana marafiki wa kike. Either tunatom*ana au chapa mwendo.Nasikitika kusema sina rafiki yoyote wa kike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe huwa mna wachukulia kama mashoga zenu...asee!!
Limekuwaje?[emoji3][emoji3][emoji3]Doooohhh[emoji134][emoji134][emoji134]
Jina mbona [emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Hata mimi sielewi[emoji38],sijui nalionaje[emoji1751]Limekuwaje?[emoji3][emoji3][emoji3]
Siku hizi urafiki wa hivyo wa kweli ni nadra sana, wengi sasa hivi wapo kimaslahi, bahati ukutabe na mtu mnaeendana hivyo.Habari zenu wakuu,
Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.
Kiasili Mimi ni introvert, sipendi mashost, mashoga wale wakunijua kiundani. So kuwa na this guy ambae nlikuwa namwambia issue zangu ilinifanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mimi sielewi[emoji38],sijui nalionaje[emoji1751]
Mweeee[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutalizoea tu mdogo wangu.. tulipe muda.
Mbonyi shapfo?Limekuwaje?[emoji3][emoji3][emoji3]