Ulishawai kunafikiwa na rafiki?

Ulishawai kunafikiwa na rafiki?

DAD'S SON

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
392
Reaction score
466
Ni ngumu sana binadamu kuishi bila rafiki hata Putin na ubabe wake ana rafiki, ila sometimes we meet with wrong friends.

Mimi binafsi nilikuwa na rafiki mpaka ilifika stage tunapeana pesa bila kukopeshana yaani tulikuwa kama ndugu vile, kwao naenda tunakula tunalala mara nyingine anakuja kwetu anakula analala.

Issue ikaja ni pale nilipotaka kufungua biashara na kumuomba ushauri kuhusiana na biashara ambayo nilitaka kufungua coz naamini ushauri ni muhimu kwa binadamu and ukizingatia ni rafiki wa kushibana, cha achabu alikuwa ananitilia uzito mara "oooh iyo biashara kwa sasa hailipi" Yani bluh bluh zilikuwa nyingi sana mpaka mtaji nikaula kiutani utani.

Baada ya mwezi mmoja huwezi amini jamaa angau uyo tajwa hapo juu akafungua biashara hiyo hiyo ambayo alikuwa ananiletea resistance. From that day, nkasema siwezi muamimi mtu tena, kuna kausemi "but no one hurt your feelings as bad as close friend/family" sasa nimeamini. Ukitaka fanya jambo fanya usimuangalie mtu wala ushauri wake ukakuyumbisha.

Mwingine mwenye ushuhuda wa kunafikiwa tafadhari tupeane experience.
 
Kitambo Nilikuwa na mshkaji mmoja ,kuna Demu alitokea kunipenda sana tena sana japo mimi sikumpenda ,Alikuwa anamlalamikia mshkaji sana na kutokana na ukaribu wa mshkaji akatumia kunishawishi nimuoe huyo demu ,Kusema kweli hakuwa na kasoro ,kutokana na heshima ya mshikaji nakawa kweli nimebadilisha maamuzi na kutaka kumuoa ,ila ajabu mshkaji alivyoona nataka kumuoa ,Akaanza kumpa maneno yule demu na kumwambia ww unataka kuolewa na Nyoka mzee ana maisha gani ya kukuhudumia n.k ,kwa wakati huo nilikuwa na hali mbaya sana kimaisha na jamaa alikuwa Don.

Akanisagia kunguni sana kwa demu ,Ajabu yote akaja niambia ,ILA AJABU JAMAA NOW hana lolote na mimi ninepansa kimaisha ,ILA NA HUYO MWANAMKE SIKUMUOA maana baba yake naye alinikataa baada ya kusikia muowaji ni mimi na kusema nimejipanga lini au kwa maisha gani niliyokuwa nayo mpaka kutaka kumwoa binti yake...baada ya mwaka mzee akafa na bint akaolewa na kinyozi na mimi baadae mungu alinibariki nikaowa mke na al hamdillah nina afadhali kubwa kimaisha
 
Yeah. Mpaka leo hii sihitaji marafiki.

Nilikuwa na rafiki ambaye kipindi maisha yake hayajakaa sawa nilikuwa nampiga tafu katika mambo mengi mfano hela ya kununua umeme, maji, nauli za hapa na pale, pesa ya chakula.

Kadhalika, kuna wakati nilikuwa namkuta yupo na demu ila unakuta hawana hata mia ndani so nikawa nawabariki na vijisenti vya hapa na pale nikijua ni rafiki mwema kumbe ni nyoka.

Ila ghafla tu jamaa alikuja kunifanyia unafiki wa hali ya juu ambao sitokuja kuusahau wala kumsamehe. Unafiki wenyewe ni kwamba aliharibu katika maeneo yangu ambayo nilikuwa nikipata riziki bila kujali wema wangu kwake wala kujali kwamba nina kundi kubwa la watu wanaonitegemea.

Kiukweli niliumia sana mpaka Leo hii huwa naumia nikikumbuka unafiki wake.
 
Ni ngumu sana binadamu kuishi bila rafiki hata Putin na ubabe wake ana rafiki,ila sometimes we meet with wrong friends.

Mimi binafsi nilikuwa na rafiki mpaka ilifika stage tunapeana pesa bila kukopeshana yaaani tulikuwa kama ndugu vile, kwao naenda tunakula tunalala
Habari yako inatafta nn kwenye jukwaa hili?
 
Ni ngumu sana binadamu kuishi bila rafiki hata Putin na ubabe wake ana rafiki,ila sometimes we meet with wrong friends.

Mimi binafsi nilikuwa na rafiki mpaka ilifika stage tunapeana pesa bila kukopeshana yaaani tulikuwa kama ndugu vile, kwao naenda tunakula tunalala mara nyingine anakuja kwetu anakula analala.
Mkuu, urafiki hauletagi maendeleo Zaid ya kudindimiza stak kusema Sana japo yangu n makubwa kinyama "usimuanimi mtu!!
 
Ni ngumu sana binadamu kuishi bila rafiki hata Putin na ubabe wake ana rafiki,ila sometimes we meet with wrong friends.

Mimi binafsi nilikuwa na rafiki mpaka ilifika stage tunapeana pesa bila kukopeshana yaaani tulikuwa kama ndugu vile, kwao naenda tunakula tunalala mara nyingine anakuja kwetu anakula analala.

Issue ikaja ni pale nilipotaka kufungua biashara na kumuomba ushauri kuhusiana na biashara ambayo nilitaka kufungua coz naamini ushauri ni muhimu kwa binadamu and ukizingatia ni rafiki wa kushibana, cha achabu alikuwa ananitilia uzito mara "oooh iyo biashara kwa sasa hailipi" Yani bluh bluh zilikuwa nyingi sana mpaka mtaji nikaula kiutani utani.

Baada ya mwezi mmoja huwezi amini jamaa angau uyo tajwa hapo juu akafungua biashara hiyo hiyo ambayo alikuwa ananiletea resistance. From that day, nkasema siwezi muamimi mtu tena, kuna kausemi "but no one hurt your feelings as bad as close friend/family" sasa nimeamini. Ukitaka fanya jambo fanya usimuangalie mtu wala ushauri wake ukakuyumbisha.

Mwingine mwenye ushuhuda wa kunafikiwa tafadhari tupeane experience.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitamsahau A. Msangi.
 
Yeah. Mpaka leo hii sihitaji marafiki.

Nilikuwa na rafiki ambaye kipindi maisha yake hayajakaa sawa nilikuwa nampiga tafu katika mambo mengi mfano hela ya kununua umeme, maji, nauli za hapa na pale, pesa ya chakula.

Kadhalika, kuna wakati nilikuwa namkuta yupo na demu ila unakuta hawana hata mia ndani so nikawa nawabariki na vijisenti vya hapa na pale nikijua ni rafiki mwema kumbe ni nyoka.

Ila ghafla tu jamaa alikuja kunifanyia unafiki wa hali ya juu ambao sitokuja kuusahau wala kumsamehe. Unafiki wenyewe ni kwamba aliharibu katika maeneo yangu ambayo nilikuwa nikipata riziki bila kujali wema wangu kwake wala kujali kwamba nina kundi kubwa la watu wanaonitegemea.

Kiukweli niliumia sana mpaka Leo hii huwa naumia nikikumbuka unafiki wake.
Shenzi huyo rafiki ana roho ya kichawi
 
Back
Top Bottom