Ulisifika Kwa Lipi Shuleni....

Ulisifika Kwa Lipi Shuleni....

Tulipokuwa darasa la nne, mwanafunzi mmoja darasani aliibiwa mfutio, mwalimu wetu wa darasa alitupanga mstari ma kuanza kusachi mifukoni mwetu. Bahati mbaya wakati huo wengi hatukuwa tunavaa chupi, na bahati mbaya zaidi mifuko yangu ilichanika kwa ndani, mwalimu alipoingiza mkono wake mfukoni kwangu ukapitiliza ukakamata nyoka. Nilipigajwe siku hiyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uyo teacher alikua me or ke??
 
Mm nilikuwa mkorofi sana mtoro nilikuwa nakuja saa nne naondoka saa saba tukio sitakaa nilisahau kupata namba ya mwalimu wa kike akija kufundisha akimaliza kipindi tu akiwa kwenye korido namtumia sms sijaelewa nimedata na uzuri wako alivyoona hiyo sms tu akajua mwenye simu yuko class akaenda ofisini akachukua walimu wote waje kupiga sachi ili wanikamete niliyetuma sms tukiwa class tulishanga darasa limezungukwa gafla walimu wote fimbo kila mtu asimame juu tuna pekuliwa mmoja baada ya mwingine mm nilichofanya nilichukua ile simu nikaibana kwenye kiti cha mbele walivyopiga sachi kwenye mabegi na awakuona kitu siku iyo walikamata simu kama nane wakaenda nazo ofisini wakapiga ile namba inaita ila simu aipo pale walimu walichoka
Mkuu ulikuwa kichwa maji kwelii nimecheka Sana
 
Mkuu ulikuwa kichwa maji kwelii nimecheka Sana
Hahahaha nilijiona mjanja sana nilikuwa na matukio shule acha kabisa kuna lingine nilimtongoza ticha akajaa kingi kujaa amejaa ila tatizo sitaki anijue alipo kuja kunijua ni mm niliyempiga voko alicheka kwasababu mwanekano wangu na matukio vitu viwili tofauti sana
 
Hahahaha nilijiona mjanja sana nilikuwa na matukio shule acha kabisa kuna lingine nilimtongoza ticha akajaa kingi kujaa amejaa ila tatizo sitaki anijue alipo kuja kunijua ni mm niliyempiga voko alicheka kwasababu mwanekano wangu na matukio vitu viwili tofauti sana
Ulitesa sana waalimu wa kike,, umenikumbusha kuna rafki yangu naye alikuwa na kazi za kuwinda namba za ma madam tuuu
 
Nidhamu ya uoga iliyo tukuka. form 1 mpka 4 bila kuchapwa bakora hata moja na shule ya bweni ya serikali enzi hizo 90's
Kweli wewe mkuu ulikuwa unanidhamu mm siku ikipita sijapigwa sikuiyo nitafanya sherehe kuja shule saa tano nasoma kipindi kimoja nakula ugali kesho tena
 
1. katotoo, karembo kadogodogo
2. Kisauti, sababu ya kumiliki sauti laini na nyororo
3. Sabufa, nilikua mchambaji mashuhuri mwenye sauti kali na nikianza simalizi
 
Nilisifika kwa ujinga wangu uzoba yaani MTU anaweza akaja akanipiga na nikamtizama tu
Wengi walikuwa wananiita bwege na hadi Leo hii nimekua sijawahi kupigana yaani naogopa hatare
 
Back
Top Bottom