Ulituaminisha kuwa Wewe una Nguvu za 'Kimaombi' za Kuwasaidia, sasa iweje leo tena unakimbilia Kwetu Wenye Dhambi na tusiojua Kuomba?

Ulituaminisha kuwa Wewe una Nguvu za 'Kimaombi' za Kuwasaidia, sasa iweje leo tena unakimbilia Kwetu Wenye Dhambi na tusiojua Kuomba?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mchungaji Daudi Mashimo ambaye ni mlezi wa msanii Amber Rutty na mumewe Said Aboubakar amewaomba watanzania kutoa msaada wa kuwachangia Amber Rutty na mumewe huyo ambao kwa sasa wapo katika gereza la Segerea wakitumikia kifungo cha miaka mitano au faini ya Milioni 6.

EastAfricaTV

Mbona pale Wawili hawa walipokuwa na 'Mafanikio' yao ya Kimaisha, hukutuita Watanzania nasi tuje tupate 'Misaada' Kwao ili Sisi 'tufanikiwe' pia?
 
Waachwe wanyee debe si wamelitafuta wenyewe..kijisent changu kitakuwa hakina kazi kuwachangia hao viumbe
 
20201001_181948.jpg

Hata huyu anaomba tumuombee
 
We umeifuta?
Sina hata muda wa kukaa na picha Kama hiyo.Kama umeoa afu mke wako akakuta na picha ya gwajiboy katoka kugegeda kwenye phone yako, atakuona bonge la bwabwa Kama mimi nilivyopata wasiwasi.
 
Sina hata muda wa kukaa na picha Kama hiyo.Kama umeoa afu mke wako akakuta na picha ya gwajiboy katoka kugegeda kwenye phone yako, atakuona bonge la bwabwa Kama mimi nilivyopata wasiwasi.

Kwenye hiyo picha anagegeda?
 
Nakimbuka kwa Amber Rutty ndio neno "connection" lilipamba moto kwa matumizi pendwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂 Jamaa kanishangaza Sana,Sasa hapo ikitokea mke wake kamkuta na picha ya mwanaume mwenzake anevuja jasho la migegedo afu yupo kitandani, sijui atamfikiriaje tu🤔
 
Sasa wakitoka gerezani sisi tutafaidikaje maana tayari waki HIV+ na marinda -
 
Mchungaji Daudi Mashimo ambaye ni mlezi wa msanii Amber Rutty na mumewe Said Aboubakar amewaomba watanzania kutoa msaada wa kuwachangia Amber Rutty na mumewe huyo ambao kwa sasa wapo katika gereza la Segerea wakitumikia kifungo cha miaka mitano au faini ya Milioni 6.

EastAfricaTV

Mbona pale Wawili hawa walipokuwa na 'Mafanikio' yao ya Kimaisha, hukutuita Watanzania nasi tuje tupate 'Misaada' Kwao ili Sisi 'tufanikiwe' pia?
kampeni zinaisha lini ?
 
Mpka sasa kombe bado linashkiliwa na amba rutty
Amba rutty 3- wengine 0
 
Back
Top Bottom