bay_zooh
Member
- Jan 27, 2025
- 43
- 65
Habari za wakati huu wanaJF,
Naombeni mnisaidie wenye uzoefu na hili.
Pengine kwenu wanaJF mlitumia njia zipi kuweza kupata ajira au kujiajiri, nimeuliza hili kwa sababu naona maisha yanazidi kunipalia, binafsi nimehitimu shahada ya mambo ya uchumi na takwimu nimejitahidi kutafuta ajira kwa kila namna lakini bado mambo si rahisi, yaani hata ya kujitolea sjafanikiwa na kujiajiri ni vivyo hivyo mambo ni vice versa.
Mpaka nahisi labda kuna mahali nakosea.
Majukumu yamenijaa, masimango ya wanajamii hahhah dah mpaka nahisi kukata tamaa lakini ndo hivyo mtafutaji hachoki.
Naombeni ushauri wenu pengine naweza kuinuka na ari mpya.
Natanguliza shukran.
Naombeni mnisaidie wenye uzoefu na hili.
Pengine kwenu wanaJF mlitumia njia zipi kuweza kupata ajira au kujiajiri, nimeuliza hili kwa sababu naona maisha yanazidi kunipalia, binafsi nimehitimu shahada ya mambo ya uchumi na takwimu nimejitahidi kutafuta ajira kwa kila namna lakini bado mambo si rahisi, yaani hata ya kujitolea sjafanikiwa na kujiajiri ni vivyo hivyo mambo ni vice versa.
Mpaka nahisi labda kuna mahali nakosea.
Majukumu yamenijaa, masimango ya wanajamii hahhah dah mpaka nahisi kukata tamaa lakini ndo hivyo mtafutaji hachoki.
Naombeni ushauri wenu pengine naweza kuinuka na ari mpya.
Natanguliza shukran.