bay_zooh
Member
- Jan 27, 2025
- 43
- 65
- Thread starter
- #21
Nashkuru sana.Watanionaje itakulaza njaa ! Achana na hayo makaratasi,,,, nenda site komaa, endesha hata mkokoten, choma mahind Road, tengeneza mihogo, mishkak vitafunwa uza,,, inategemea na eneo ulilopo ,,, point yangu ni kwamba usichague kazi kama unajijua ni mtoto wa mkulima