Ulitumia njia gani kumpata mdada mzuri ambaye mtaani hawakuamini walipokuona nae?

Ulitumia njia gani kumpata mdada mzuri ambaye mtaani hawakuamini walipokuona nae?

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu,
Kila mtaa kuna mwanamke au mdada ambaye anaaminika kuwa ni mzuri na ni vigumu kumpata kiurahisi

Unaweza kujitosa kumtongoza unaambulia matusi na kudharirishwa. Nimegundua hili kwani mtaani kwetu kuna binti mzuri hatari na wanaume wengi washamtongoza na kuishia kusemwa nyumbani,kutukanwa na kudhalilishwa hadharani

Kuna mahali nilienda,nikaoneshwa kuwa huyu ndiye demu matata ashashindikana,nikaanza kumuwinda, haikupita wiki akanasa na kufanikiwa kulala nae. Wengi walishangaa na kuishia kunipongeza.

Ila nishawahi kutongoza msichana wa hivyo mtaani kwetu akaishia kunikataa ila si kwa kunitukana na kunidharilisha.

Wakuu, mnawapataje hawa aina ya wanawake ?
 
Dah,

Story yangu ndogo kutoka maisha ya ujanani.

Umenikumbusha wakati bado mdogo, teenage years, siku moja nilipiga kipensi cha jeans ya kuchanikachanika, nikawa nasindikiza mtoto mkaliii mtaani. Alikuwa anarudi kwao baada ya kunitembelea na kumaliza yetu.

Basi nilivyorudi kumsindikiza yule girlfriend wangu, mdada mmoja mkubwa wa mtaani, bonge la sister du, akawa kama haamini mambo yangu yale, alikuwa ananichukulia poa kaniona nakua tangu mdogo.

Yule sister du dada mkubwa wa mtaani akashindwa kujizuia, akaniita, akaniambia yule msichana wako nzuri sana, siku nyingine ukiwa unamsindikiza uvae vizuri zaidi na wewe usivae kama vile jeans la kuchanikachanika (siku hizo kuvaa jeans la kuchanikachanika ilikuwa inaonekana uhuni sana, haikuwa kawaida kama siku hizi).

Akasema haileti picha nzuri.

Halafu mimi nilimchukulia poa tu yule msichana wangu. Na yeye mwenyewe alikuwa poa tu na vile nilivyokuwa.

Nilimnasa vipi?

Alikuwa anapenda mambo yangu mengi tu, stories zangu, mambo ya muziki, mambo ya public speaking. Alikuwa anapenda sana king'eng'e changu na vitabu nilivyokuwa nasoma.

Alikuwa anasema nafanana na Denzel Washington katika "Mississippi Masala".

Kifupi alipenda akili zangu zaidi kuliko hela kwa sababu wote tulikuwa wadogo hata hela nilikuwa sina hivyo, hapo hata kazi sijaanza.

MV5BZDc1MjUyZTMtNDQ2Mi00ZDBhLTk4ZjktM2I3ZGQ4MTUyNDkzXkEyXkFqcGc@._V1_FMjpg_UX1000_.jpg
 
Dah,

Story yangu ndogo kutoka maisha ya ujanani.

Umenikumbusha wakati bado mdogo, teenage years, siku moja nilipiga kipensi cha jeans ya kuchanikachanika, nikawa nasindikiza mtoto mkaliii mtaani. Alikuwa anarudi kwao baada ya kunitembelea na kumaliza yetu.

Basi nilivyorudi kumsindikiza yule girlfriend wangu, mdada mmoja mkubwa wa mtaani, bonge la sister du, akawa kama haamini mambo yangu yale, alikuwa ananichukulia poa kaniona nakua tangu mdogo.

Yule sister du dada mkubwa wa mtaani akashindwa kujizuia, akaniita, akaniambia yule msichana wako nzuri sana, siku nyingine ukiwa unamsindikiza uvae vizuri zaidi na wewe usivae kama vile jeans la kuchanikachanika (siku hizo kuvaa jeans la kuchanikachanika ilikuwa inaonekana uhuni sana, haikuwa kawaida kama siku hizi).

Akasema haileti picha nzuri.

Halafu mimi nilimchukulia poa tu yule msichana wangu. Na yeye mwenyewe alikuwa poa tu na vile nilivyokuwa.

Nilimnasa vipi?

Alikuwa anapenda mambo yangu mengi tu, stories zangu, mambo ya muziki, mambo ya public speaking. Alikuwa anapenda sana king'eng'e changu na vitabu nilivyokuwa nasoma.

Alikuwa anasema nafanana na Denzel Washington katika "Mississippi Masala".

Kifupi alipenda akili zangu zaidi kuliko hela kwa sababu wote tulikuwa wadogo hata hela nilikuwa sina hivyo, hapo hata kazi sijaanza.

View attachment 3269498
Huyo manzi wako anamuamini Mungu?
 
Huyo manzi wako anamuamini Mungu?
Hapo hata mimi nilikiwa namuamini Mungu ila ndiyo nilikuwa na maswali kibao, ndiyo hivyo vitabu tulikuwa tunasoma sana.

Baadaye kidogo tu nikasoma "Philosophy of Religion: An Anthology" ndiyo kikanifanya nijue Mungu hayupo.

Yeye anaamini.

Mimi wanaoamini sina shida nao.

Kuna mtoto mmoja wa ki Pemba alikuwa anasema nikienda kwao atasema tu "Huyu Comrade Mkomunisti" watanielewa.

Hivi sasa kuna mtoto wa Kiislamu ananing'ang'ania niende kuwa naye tufuturu wote Ramadhani yote hii.

Mpaka napata mtihani itakuwa vipi nafuturu na mtoto wa Kiislamu ambaye si umbu wangu wala mke wangu Ramadhani yote hii.

Kasema nataka nyama ya mbuzi au kondoo, nikasema mbuzi.

Wataalam hii imekaaje?
 
Hapo hata mimi nilikiwa namuamini Mungu ila ndiyo nilikuwa na maswali kibao, ndiyo hivyo vitabu tulikuwa tunasoma sana.

Baadaye kidogo tu nikasoma "Philosophy of Religion: An Anthology" ndiyo kikanifanya nijue Mungu hayupo.

Yeye anaamini.

Mimi wanaoamini sina shida nao.

Kuna mtoto mmoja wa ki Pemba alikuwa anasema nikienda kwao atasema tu "Huyu Comrade Mkomunisti" watanielewa.

Hivi sasa kuna mtoto wa Kiislamu ananing'ang'ania niende kuwa naye tufuturu wote Ramadhani yote hii.

Mpaka napata mtihani itakuwa vipi nafuturu na mtoto wa Kiislamu ambaye si umbu wangu wala mke wangu Ramadhani yote hii.

Kasema nataka nyama ya mbuzi au kondoo, nikasema mbuzi.

Wataalam hii imekaaje?
Hapo wewe andaa tu zana za kazi ukale mema ya nchi.
 
Aendelee kupumzika kwa amani..

Ilikua mwaka 2006 nikiwa Daslam ndio nimeanza form one. Kuna binti mrembo sana alikua na kaka ake amejenga jirani na nilipokua naishi. Kutoka kwao hadi kwa kaka ake ulikua mwendo wa dk15 hivi, so mara nyingi weekend alikua anakuja kwa kaka ake. Wakati huo alikua primary na mm nipo form one. Kwa uzuri aliokua nao kila kijana alikua anammezea mate sio siri. Nilifukuzia sana yule binti bila kuambulia kitu kwa zaidi ya mwaka. Nilikua na ratiba ya kila jioni mida ya saa 1 lazima nikatege jirani na home kwao. Nilikua navizia wakimtuma dukani tu namuungia. Jirani yako kulikua na dogo wanaoma nae kuna muda nilikua namuagiza akaniite ila wapi dem akija anakaza.

Wakati huo njia ya kutongoza ilikua, kumvizia binti ukutane nae live utupe mistari, umwandikie barua umpe mwana ampelekee shule nk, no sim.

Basi nilipofika form two yy yupo darasa la saba, nilianza kucheza sana mpira kitaa, nilikua goalkeeper. Nilikua mahiri kiasi chake golini kiasi kwamba tukiwa tunacheza tim tatu mtoano, mm tim yangu inakaza tu ifike penalty ikijua nyanda nipo. Nikawa nasifika kwa kudaka hadi kitaa. Zile sifa zikafika shuleni kwao bwana. Dah mtoto kusikia ninasifiwa akawa mpole na mwepesi.

Siku moja nakumbuka ilikua jumapili nikasguka barakuda beach (wenyeji wa kigamboni watapajua) nikakutana na binti yupo na sister ake. Sister ake hana kinyongo akatupa nafasi, nilitaka kulia kusikia binti anasema ananipenda, aloo kale ka feeling acha kabisa. Nikajipatia mtoto kwa kuwa goalkeeper wa mchongo.

Tulianza mahusiano ya kitoto baadae tukatenganishwa na shule. 2016 nilirudi dar nikamtafuta, kumbe bado tuna connect tukaendelea tena. Dah, nasikitika kusema 2019 Mungu alimwita.

Itoshe kusema yule binti nilimpenda na kuna kuda huwa nahisi aliondoka na hisia zangu, maana sina tena ile strong feeling na hizo mambo.
Endelea kupumzika kwa amani KR.
 
Aendelee kupumzika kwa amani..

Ilikua mwaka 2006 nikiwa Daslam ndio nimeanza form one. Kuna binti mrembo sana alikua na kaka ake amejenga jirani na nilipokua naishi. Kutoka kwao hadi kwa kaka ake ulikua mwendo wa dk15 hivi, so mara nyingi weekend alikua anakuja kwa kaka ake. Wakati huo alikua primary na mm nipo form one. Kwa uzuri aliokua nao kila kijana alikua anammezea mate sio siri. Nilifukuzia sana yule binti bila kuambulia kitu kwa zaidi ya mwaka. Nilikua na ratiba ya kila jioni mida ya saa 1 lazima nikatege jirani na home kwao. Nilikua navizia wakimtuma dukani tu namuungia. Jirani yako kulikua na dogo wanaoma nae kuna muda nilikua namuagiza akaniite ila wapi dem akija anakaza.

Wakati huo njia ya kutongoza ilikua, kumvizia binti ukutane nae live utupe mistari, umwandikie barua umpe mwana ampelekee shule nk, no sim.

Basi nilipofika form two yy yupo darasa la saba, nilianza kucheza sana mpira kitaa, nilikua goalkeeper. Nilikua mahiri kiasi chake golini kiasi kwamba tukiwa tunacheza tim tatu mtoano, mm tim yangu inakaza tu ifike penalty ikijua nyanda nipo. Nikawa nasifika kwa kudaka hadi kitaa. Zile sifa zikafika shuleni kwao bwana. Dah mtoto kusikia ninasifiwa akawa mpole na mwepesi.

Siku moja nakumbuka ilikua jumapili nikasguka barakuda beach (wenyeji wa kigamboni watapajua) nikakutana na binti yupo na sister ake. Sister ake hana kinyongo akatupa nafasi, nilitaka kulia kusikia binti anasema ananipenda, aloo kale ka feeling acha kabisa. Nikajipatia mtoto kwa kuwa goalkeeper wa mchongo.

Tulianza mahusiano ya kitoto baadae tukatenganishwa na shule. 2016 nilirudi dar nikamtafuta, kumbe bado tuna connect tukaendelea tena. Dah, nasikitika kusema 2019 Mungu alimwita.

Itoshe kusema yule binti nilimpenda na kuna kuda huwa nahisi aliondoka na hisia zangu, maana sina tena ile strong feeling na hizo mambo.
Endelea kupumzika kwa amani KR.
Ulipiga?
 
Wakuu,
Kila mtaa kuna mwanamke au mdada ambaye anaaminika kuwa ni mzuri na ni vigumu kumpata kiurahisi

Unaweza kujitosa kumtongoza unaambulia matusi na kudharirishwa. Nimegundua hili kwani mtaani kwetu kuna binti mzuri hatari na wanaume wengi washamtongoza na kuishia kusemwa nyumbani,kutukanwa na kudhalilishwa hadharani

Kuna mahali nilienda,nikaoneshwa kuwa huyu ndiye demu matata ashashindikana,nikaanza kumuwinda, haikupita wiki akanasa na kufanikiwa kulala nae. Wengi walishangaa na kuishia kunipongeza.

Ila nishawahi kutongoza msichana wa hivyo mtaani kwetu akaishia kunikataa ila si kwa kunitukana na kunidharilisha.

Wakuu, mnawapataje hawa aina ya wanawake ?
Tumia dawa za kimasai..
 
Dah,

Story yangu ndogo kutoka maisha ya ujanani.

Umenikumbusha wakati bado mdogo, teenage years, siku moja nilipiga kipensi cha jeans ya kuchanikachanika, nikawa nasindikiza mtoto mkaliii mtaani. Alikuwa anarudi kwao baada ya kunitembelea na kumaliza yetu.

Basi nilivyorudi kumsindikiza yule girlfriend wangu, mdada mmoja mkubwa wa mtaani, bonge la sister du, akawa kama haamini mambo yangu yale, alikuwa ananichukulia poa kaniona nakua tangu mdogo.

Yule sister du dada mkubwa wa mtaani akashindwa kujizuia, akaniita, akaniambia yule msichana wako nzuri sana, siku nyingine ukiwa unamsindikiza uvae vizuri zaidi na wewe usivae kama vile jeans la kuchanikachanika (siku hizo kuvaa jeans la kuchanikachanika ilikuwa inaonekana uhuni sana, haikuwa kawaida kama siku hizi).

Akasema haileti picha nzuri.

Halafu mimi nilimchukulia poa tu yule msichana wangu. Na yeye mwenyewe alikuwa poa tu na vile nilivyokuwa.

Nilimnasa vipi?

Alikuwa anapenda mambo yangu mengi tu, stories zangu, mambo ya muziki, mambo ya public speaking. Alikuwa anapenda sana king'eng'e changu na vitabu nilivyokuwa nasoma.

Alikuwa anasema nafanana na Denzel Washington katika "Mississippi Masala".

Kifupi alipenda akili zangu zaidi kuliko hela kwa sababu wote tulikuwa wadogo hata hela nilikuwa sina hivyo, hapo hata kazi sijaanza.

View attachment 3269498
aisee huyo sista du ange jichanganya kuku uliza swali Mwaka huu, sijui ange ambulia violence ya namna gani😆🤣
 
Back
Top Bottom