jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Hahahaha hata wangu nilimwacha kimya kimya, kapiga simu mwaka mzima naweka black list kisa cha kumwacha alinipanda kichwani na mateso yalipozidi nikaamua kumtelekeza kimya kimyaDah ningejua nisingeifungua hii Uzi,niliachwa kimya kimya, nilipiga simu mwezi mzima lakn haikupokelewa ,enginer wa kipare go to hell
Mi wa kwangu alileta hizo za kujiona mzuri sana na kunikalia kichwani nilipomwambia tuachane akaleta Swagg za kunywa sumu... Nilikonda penzi nililiona chungu kama sifongo nikamtelekeza kimya kimyaAu ulikuwa na mashauzi sana ? maana nanyi mkishatongozwaga na kuambiwa mnapendwa basi huwa mnadhani hakuna mwanamke mwingine mzuri zaidi yenu.
sijui nani kawaloga. Ukishasifiwa tu mzuri na ukiwa na kitako ndio basii .badilikeni mtaachwa sana msipokuwa makini.
Bora wako hata alikupanda kichwani,labda upole Wang ulizid na akawa ameshafaidi laptop na Kabati LA nguo na vitu vingine akaona ajisepeshe,Hahahaha hata wangu nilimwacha kimya kimya, kapiga simu mwaka mzima naweka black list kisa cha kumwacha alinipanda kichwani na mateso yalipozidi nikaamua kumtelekeza kimya kimya
Hongera sana, na hata uandishi wako na maneno yako inaonyesha ulivyo na upendo na huna makuu. Lakini amini Mungu ni mwema, utakuja kumpata shemeji mwingine mwenye mapenzi ya dhati na ukamsahau huyo engineer wa kipare. Hakika amini maneno yangu, zidi kuomba na sifa za utukufu umpe Aba/Mungu wa kweli...atajibu tu maombi dada yangu.Kaka sipo hivo kabisa yaan,nilikuwa namuheshim mno, nimemsaidia mengi, sijui kuringa wala kuonyesha zarau mim ni mpole ukiniona utafikir no mlokole aliyeshika dini, mim sio muongeaji, unaweza nikera na nikacheka,
Sasa una mtu mwengine, au naweza pata fulsa ya kuondoa upwekeKaka sipo hivo kabisa yaan,nilikuwa namuheshim mno, nimemsaidia mengi, sijui kuringa wala kuonyesha zarau mim ni mpole ukiniona utafikir no mlokole aliyeshika dini, mim sio muongeaji, unaweza nikera na nikacheka,
Duuh nimependa maamuz yako ni ya kipekeeNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
Naona unawahi fursa mapema! we sio wa mchezo mchezoSasa una mtu mwengine, au naweza pata fulsa ya kuondoa upweke
Wala sihitaj kubwa na MTU kwa sasa,nawaza pesa tuSasa una mtu mwengine, au naweza pata fulsa ya kuondoa upweke
Asante kwa kumpa taarifa,anafikir sisi warombo in wapenda dezo eeehNaona unawahi fursa mapema! we sio wa mchezo mchezo
Lakini huyo ni binti wa kirombo sio mmachame, mmarangu wala wa kishumundu. Binti wa kirombo ni jembe la ukweli na huwezi kumpata kirahisi hivyo mkuu!
Tuyajenge basi pm manake hta Mimi Nina tabia kama zakoKaka sipo hivo kabisa yaan,nilikuwa namuheshim mno, nimemsaidia mengi, sijui kuringa wala kuonyesha zarau mim ni mpole ukiniona utafikir no mlokole aliyeshika dini, mim sio muongeaji, unaweza nikera na nikacheka,
nyie bado hamjaachaname nilianza kupunguza mawasialiano na yeye kidogo kidogo hadi saiv ishapita wiki ya 3 hatujawasiliana..sijamtamkia kwamba tuachane
Hapan sina uhitaj wa MTUTuyajenge basi pm manake hta Mimi Nina tabia kama zako
Hata wa kuchati naye tu hunitaki,kama niivyo msimsumbue mungu kumsaka Mme mwema tu nakuja mnatufukuza mnataka malaika?Hapan sina uhitaj wa MTU