Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji3516]Wasiohusika na show washuke[emoji28] nasema tena wasiohusika na show hii washuke chini[emoji28]
NIMESIKITIKA SANA!!!
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3516]Wasiohusika na show washuke[emoji28] nasema tena wasiohusika na show hii washuke chini[emoji28]
Magari yote naagiza Japan kaka....Wewr jamaa unanunuaga magari ya wizi. Nachojua mm unapokabidhiwa gari iwe yard au bandarini na wakala funguo zote mbili zinakuwa attached pamoja.
Sio kweli mzee...nadhani kama umeshawahi kuagiza gari utakutana na hali tofauti unisikilize stori za kijiweni mimi nakwambia nimenunua gari mpya na used na zote nakuta spare keys sehemu tofautiWewr jamaa unanunuaga magari ya wizi. Nachojua mm unapokabidhiwa gari iwe yard au bandarini na wakala funguo zote mbili zinakuwa attached pamoja.
thank you Kaka, ulizikuta sehemu ganiSio kweli mzee...nadhani kama umeshawahi kuagiza gari utakutana na hali tofauti unisikilize stori za kijiweni mimi nakwambia nimenunua gari mpya na used na zote nakuta spare keys sehemu tofauti
Ok may be uzoefu ubatofautiana. Nimeshaagiza gari tatu japan so far, zote nakabidhiwa key mbili. Yaani gari yangu mwenyewe nianze tena kufichiwa funguo yya spare?Sio kweli mzee...nadhani kama umeshawahi kuagiza gari utakutana na hali tofauti unisikilize stori za kijiweni mimi nakwambia nimenunua gari mpya na used na zote nakuta spare keys sehemu tofauti