Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mzee inaonekana ulipiga shoo moja ya kibabe sana. Shoo moja mpaka ukaanza kupendwa kweli hukufanya makosa mkuu πSkuhiyo nilikua nimeamua tu kumsokota mshaji kwamba sijawahi kujaribu kitobo....π€£ na lengo ilikua sijui anawaza nini na nikatamani nijue anataka kusema nini...π
Sasa aliponipa dem wake nikajifunzie, na nikawa na upwiru uliojaa vudumu zote mbili, ilikua shighuli...π
Ila nahisi dem aligundua na akawa amefurahia show, basi ikabidi ajifanye hajui chochote...π€ͺ
Katika mambo huwa naogopa ni kuazima vitu. Bora nijichange ninunue cha kwangu.Duuh inachangamsha sana,Uzi wako unanifanya nizidi kuwa mwangalifu na vitu vya kuazima.
Kanuni ya kuazimana gari ni lazima na yeye awe na gari. Hata akiharibu unachukua lake kwa muda.Mtu uliemuazima gari ghafla unamuona analetwa na boda boda alaf anakuita pembeni muongee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli hizo simu hata mm naziogopa na uchumi wa kuungaunga na nilivo mama mihangaiko kutwa nzima ngoja nikomae na TecnoπIlikua chuo lecture room kuna dem wa rafiki yangu aliweka simu chaji dirishani, katika kupita niende zangu back bencha nikajikwaa kwenye waya simu ikaanguka chini "paaaah!" Ilikua samsung. Kuiwasha ngoma ikawa inaonyesha michilizi ya maji tu yani kioo kimevujia.
Manzi analia ndio ana mwezi tangu anunue ile simu. Mshkaji ikabidi ampe kisimu cha batani azugie, mimi nikabaki na ile samsung ili nitafte kioo nirekebishe.
Kichwani nikawa nafikiri kioo kitanicost chini ya 50k! Kwenda shop kuulizia naambiwa gharama ya kioo cha simu laki 2 na matengenezo elfu20!!!! Nilidata. Ilinicost sana ile kitu, robo tatu ya bumu lilikatikia pale nikaishia kushindia mihogo na mikate semista nzima. Mpaka sasa pamoja na kua life liko njema ila simu za samsung sina mzuka nazo!
[emoji23][emoji23][emoji23]Blow dry yangu iliungua wakat nakausha nywele zilikuwa hazijakauka vizuri nikaenda kuazima ya jirani nimalize Yan kuiwasha naanza tu ikaungua hata nywele sijakausha nilidaiwa ikabid nimnunulie mpya inaniumaga bas tu [emoji3]
Asante iliniuma et anatak mpya Bora nibgetoa Hela nikaenda saluni tu ikabid ninunue mbili yangu na nayodaiwa nilisikia uchunguπππ[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole.
Mbona hichi kisa kama cha mzee wanguKuna mshkaji alikua anadem wake, sasa akaniuliza kama nilisha wahi kujaribu kitobo (nikamjibu hapana), basi akaniambia ataniazima dem wake nikajifunzie kunjunjana.....[emoji1787]
Matokeo ya pale dem akawasha taa akakuta ni mimi na sio mshkaji, basi alimaind kimtindo na kuanzia siku hiyo dem akakomaa kwamba hamtaki tena mshaji na ananipenda mimi...[emoji12]
Kuanzia skuhiyo mimi na mshkaji urafiki ulikufa, then tukaja kuonana miaka 25 baadae alishakua na familia na mimi nina familia. Basi hiyo siku wakati tunasalimiana mimi nilikua nacheka tu nikikumbuka....[emoji13]
Ukatili mwingi sanaa[emoji1787]Jirani aliazima pasi,sijui alifanyaje ikaungua na akairudisha bila taarifa[emoji23]Tulinunua nyingine
Sasa alivyomshenzi akaja kuazima tena[emoji23],tukawa tunampa ile aliyoiharibu.
Nimesoma hadithj nimekutukana kimoyo.Ilikua chuo lecture room kuna dem wa rafiki yangu aliweka simu chaji dirishani, katika kupita niende zangu back bencha nikajikwaa kwenye waya simu ikaanguka chini "paaaah!" Ilikua samsung. Kuiwasha ngoma ikawa inaonyesha michilizi ya maji tu yani kioo kimevujia.
Manzi analia ndio ana mwezi tangu anunue ile simu. Mshkaji ikabidi ampe kisimu cha batani azugie, mimi nikabaki na ile samsung ili nitafte kioo nirekebishe.
Kichwani nikawa nafikiri kioo kitanicost chini ya 50k! Kwenda shop kuulizia naambiwa gharama ya kioo cha simu laki 2 na matengenezo elfu20!!!! Nilidata. Ilinicost sana ile kitu, robo tatu ya bumu lilikatikia pale nikaishia kushindia mihogo na mikate semista nzima. Mpaka sasa pamoja na kua life liko njema ila simu za samsung sina mzuka nazo!
Thank you [emoji120]Nimesoma hadithj nimekutukana kimoyo.
Jambo la bahati mbaya na ukaripa na hela aisee.
We we ni fala
Mhhhhh....Mbona hichi kisa kama cha mzee wangu
Location ya tukio ni huko tabora
We nae usingelipa,yy c aliweka njian,mi ningemwambia sina hela na cha kunifanya hanaIlikua chuo lecture room kuna dem wa rafiki yangu aliweka simu chaji dirishani, katika kupita niende zangu back bencha nikajikwaa kwenye waya simu ikaanguka chini "paaaah!" Ilikua samsung. Kuiwasha ngoma ikawa inaonyesha michilizi ya maji tu yani kioo kimevujia.
Manzi analia ndio ana mwezi tangu anunue ile simu. Mshkaji ikabidi ampe kisimu cha batani azugie, mimi nikabaki na ile samsung ili nitafte kioo nirekebishe.
Kichwani nikawa nafikiri kioo kitanicost chini ya 50k! Kwenda shop kuulizia naambiwa gharama ya kioo cha simu laki 2 na matengenezo elfu20!!!! Nilidata. Ilinicost sana ile kitu, robo tatu ya bumu lilikatikia pale nikaishia kushindia mihogo na mikate semista nzima. Mpaka sasa pamoja na kua life liko njema ila simu za samsung sina mzuka nazo!
Blaza mimi nimekuzwa katika misingi inayonitaka kua responsible kwa matendo yangu yote ninayoyafanya kwa wengine, haijalishi iwe kwa makusudi au kwa bahati mbaya. I opt to take full responsibility for my actions. Na najivunia kwa hilo hata kama itaonekana ni uboya.We nae usingelipa,yy c aliweka njian,mi ningemwambia sina hela na cha kunifanya hana
AsanteJirani aliazima pasi,sijui alifanyaje ikaungua na akairudisha bila taarifa[emoji23]Tulinunua nyingine
Sasa alivyomshenzi akaja kuazima tena[emoji23],tukawa tunampa ile aliyoiharibu.