Kuna mshkaji alikua anadem wake, sasa akaniuliza kama nilisha wahi kujaribu kitobo (nikamjibu hapana), basi akaniambia ataniazima dem wake nikajifunzie kunjunjana.....[emoji1787]
Matokeo ya pale dem akawasha taa akakuta ni mimi na sio mshkaji, basi alimaind kimtindo na kuanzia siku hiyo dem akakomaa kwamba hamtaki tena mshaji na ananipenda mimi...[emoji12]
Kuanzia skuhiyo mimi na mshkaji urafiki ulikufa, then tukaja kuonana miaka 25 baadae alishakua na familia na mimi nina familia. Basi hiyo siku wakati tunasalimiana mimi nilikua nacheka tu nikikumbuka....[emoji13]