Uliwahi kukamwatwa kwenu unavusha?

Uliwahi kukamwatwa kwenu unavusha?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Katika harakati za ujana nimevusha round mbili nakuvushwa round moja.

1: Siku ya kwanza na vusha mother alikua kasepa kikazi na dingi akaona acha akazurure zake kijijini kumdekea mama yake, msela nimeachwa zangu home kama sungu sungu nalala gheto la nje machalii ndani.

Zoezi lilikua hivi nilivusha mara za kutosha mademu tofauti wa kitaa ila mwisho wa siku nilidakwa na mdingi , vusha mtoto ile nimeanza kupiga mzingo tupo kati kwa kati nasikia hone ya gari huko nje, mwamba nikakaza ikabidi madogo watoke nyumba kubwa kufungua,

dingi alivyo mnafiki kinyama aliamua kuja bila taarifa kafunguliwa geti na madogo alafu analeta usnichi anataka niona asee ilibidi tuu nifungue mlango wa gheto maana dingi kagonga vya kutosha , dingi alicho nambia tuu baada ya kumuona mrembo alinivuta chemba kama mwizi rungu bado imesimama hivi akaniambia umeanza kuota sharubu kama mimi asee kilicho endelea wenzangu mtamalizia ila ........

2: Nyingine nilivusha wazazi wote wakiwepo hii alinizoom bimkubwa wangu anakuaga na tabia mbaya huyu bi mkubwa kukaa kwa dirishani kila saa kucheck check nje kama mlinzi sijui anakuaga na machale gani, hiyo siku alininyaka ila aliniachia tuu kinamna maana alikuaga anaiona boya boya wa mademu

ila bi mdashi wakati mwingine ana nisaksia vitoto basi nakua boya kichizi akawa anahisi mimi ni hanithi , hiyo siku kanifumania akanivungia ila kesho yake nilitumikia viboko kadhaa kwa bi mkubwa na sala ya Toba juu, huku akidai anataka nimkutanishe na huyo binti asee mwamba nilisakamwa kwa week nzima mpaka msosi ukawa hauliki kwa raha , pigishwa kazi haswa kama adhabu ila ilibidi tuu nitumikie kwa utiifu

3: Nilivushwa na demu geti kali . Nilipitishwa kwa mlango wa nyuma ile kufika tuu room kwake nasikia upande wapili dingi yake anaongea kuuliza anasem yupo seblen ila hawezi sanuka maana hana mazoea ya kugonga room za mabinti zake.

Ase hii siku mwamba mtambo uligoma kusimama siyo kwa zile hofu za sauti za mzee wake, yani nilikua natetemeka kila mahali mithili ya mtu anayetaka kufa kwa baridi kali. Kila nikisikia sauti ya mzee wake inatokea seblen basi mimi kama panya natetemeka mbaya mpaka nahisi kukosa pumzi. Mwamba niliishia piga tuu vidole nyapu ya manzi kivivu ila demu alinielewa shida ni nini maana haikua kawaida yangu kutetemeka vile tukiwa viwanja.

WAKUU NASISITIZA TUU VIJANA TAFUTENI MAGHETO AU HELA ZA GEST KUVUSHA NA KUVUSHWA NI RISK SANA

Chanzo: comment namba 45
 
Kuishi nyumbani kabla ya maisha ya kuanza kujitegemea huwa ni changamoto kubwa kwenye mahusiano ya kimpanzi kwa vijana wa kiume.

Enzi hizo nakumbuka nilirudi likizo kutoka chuoni, Nilimpata mwenzangu wa kusongesha likizo, shughuli pevu ikawa ni kuvusha maana sikuwa na ghetto wala pesa za gesti,

Chumba changu kilikuwa nje kwenye vile vyumba vya wageni lakini ni lazima nipite upenunu mwa nyumba kubwa.

Ilibidi niwe na ushirikiano wa hali ya juu sana kumpandikiza mdogo wangu awe jasusi wa kunifanyia uchunguzi wa mazingira kabla sijavusha, utaratibu ulizoeleka nikaanza kuzoea kuvusha mara kwa mara.

Sasa siku ya siku nimeshavusha,

Ntaendelea, nimepata dharura.....

Wengine endeleeni kutiririka visa vyenu
nmevusha sanaaa aseee nashukuru sikuwai kuonekana
 
Back
Top Bottom