Uliwahi kulilia mapenzi?

🀣🀣🀣 unapenda nilizwe na mapenzi dogo?? Haya ngoja nikupe ushindi wa mezani.!
Jana nilikua napitapita mitaa ya jf nikakukuta mtaa mmoja unajimwambafai kua huwezi kulia kisa kuachwa sasa hapa nawaza kama uliacha na ukalia what if ukiachwa? Si tunajenga matent hapo kwako mapema tuu.
 
Hongera sana kwa kutambua madhaifu yako yafanyie kazi, ukweli ni kwamba mwanamke bora/mwanaume bora huwa haji maishani mwetu mara mbili… Utaupgrade uwezavyo, ila kamwe huwezi kuziba gape la mwenza bora.
 
Sasa mbona PM umefunga mamaa πŸ˜” kilio changu kinazidi kuwa kikubwa mno 😭😭😭😭
Ko uko serious umejibeba unakuja pm?? 🀣🀣🀣
Ww kweli akili zako bangi aiseee!! πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hongera sana kwa kutambua madhaifu yako yafanyie kazi, ukweli ni kwamba mwanamke bora/mwanaume bora huwa haji maishani mwetu mara mbili… Utaupgrade uwezavyo, ila kamwe huwezi kuziba gape la mwenza bora.
Hakika sijui kwa nini huwa hivi, mtu bora huja mara moja na ukishampoteza ndio basi imeisha.
 
Jana nilikua napitapita mitaa ya jf nikakukuta mtaa mmoja unajimwambafai kua huwezi kulia kisa kuachwa sasa hapa nawaza kama uliacha na ukalia what if ukiachwa? Si tunajenga matent hapo kwako mapema tuu.
Mi nachangamsha kijiwe hapa wala simaanishi, ila yule jamaa nilimkosea nafsi imenisuta sana ndiomana nilimuacha nikalia kwa huzuni..!! Ila namrudia nimegundua alikuja duniani kwaajiri yangu😜
 
Natamani kupata pisi kali vuta bangi nione amsha amsha zake πŸ˜‚ mana naowapata ni wavaa madera tuu πŸ˜”
sasa apo umeshindwa hekaheka za madera je za bangi utaweza πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…