kuna mzee nilikuwa namheshimu sana ni baba wa kufikia wa demu wangu siku demu akaniachia simu kuangalia namba ya baba yake status kapost mdada anatikisa matakoo...yani sio mara moja na huyo mzee ana mke nkasema daah hapana tumetofautianaKuna watu kupitia status zao nawashusha thamani kabisa
Hawajui tu wanyo haribukuna mzee nilikuwa namheshimu sana ni baba wa kufikia wa demu wangu siku demu akaniachia simu kuangalia namba ya baba yake status kapost mdada anatikisa matakoo...yani sio mara moja na huyo mzee ana mke nkasema daah hapana tumetofautiana
shida sana ujana hakuula vizuri pia ushamba wa technology...Hawajui tu wanyo haribu
Siamini kama wapo ila kama wapo ni sawa kwaupande wao.Kitu cha kijinga zaidi ni pale unapochati na mtu inbox halafu baadae unatuwekea sisi status[emoji23] eti ooh fulani umejua kunifurahisha
Ukizikamata lazima utuwekee statusTangu january sijawah badilisha dp wala post kitu status na status zenu naview kimyakimya kwa kifupi unaweza jua sipogo wasapu.
Hahahhaha najua mwenyewe ninachochekaPoleni sana, mimi hata siangaliagi status...
GB whats app unaweza uka view status ya mtu asijue kama ume viewHahahaha hamna mikakati tu ya kuishi na wabongo wanafiki mwengine anaweka status akutambie........unkuta anachungulia umeview
Kuna demu alinichek upo kimya haupost kitu status zangu auvyuu kumbe status yake akipost dkk mbili nishavyuu........
Nikumbushe tucheke wote...Hahahhaha najua mwenyewe ninachocheka
Acha tu nicheke mwenyeweNikumbushe tucheke wote...
Tucheke wote sasa...Acha tu nicheke mwenyewe
Hahhaha ndo maana sheria ya usiri iwekwa nadhani moja ya muktadha ilikuwa na hii.Kuna jamaa aliwahi kupost tovuti ya xxx video . Yule jamaa ukimwona hata huwezi amini aseh iyo siku nilistaajabu Sana Yani kumbe mpaka huyu naye anaangaliaga pilau
Hivi unawezaje kufuatilia maisha yako tu bila ya wengine?Ukiona unapata muda wa kupost au kuview status za watu whatsapp jua unafatilia sana maisha ya watu kuliko mambo yako binafsi.
Nani kakuambia kujichanganya ni kuview status za watu whatsapp? unajua maana ya kujichanganya?Hivi unawezaje kufuatilia maisha yako tu bila ya wengine?
Muachage mambo zenu, lazima ujichanganye na wadau, uwape hai na kujua hali zao pia bila hao huwezi kutoboa kwenye maisha, they will totally ignore you, kuviwe status za wadau haina maana maana ati huna cha kufanya na unafuatilia mishe zao no no sehemu ya kujichanganya kwani hao ndo watanunua hata bidhaa zako na ndio watakaokusaidia pindi upatapo matatizo,
Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
TumbuaKuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
salama kabisa alhamdulillah, uwe unanitafuta hata kunisalimia tu jamani..Waalykm salaam warahmatullah wabarakatuh.
Hali yako mkuu?
Utoto sana huu.Kwenye birthday unakuta ana repost wote waliomu wish na kupost tena
Hajawah jitokeza hadharani ningepost hapa sema ntapigwa banDuh hii kiboko !! Mlivokutana naye ikawaje
hii ilimtokea pia manzi mmoja rafiki yangu...nadhan na yeye alikua anamtumia msela wake,aliifuta faster lkn ndoivo nilikua nimeshaipata baadae akapost picha ya lips kuzuga kumbe wajuba tunaijua vzur sura ya mbususu kuliko hata noti ya msimbaziKuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status