Alienichoma ni ndugu yangu kabisa ili tu apate udalalifunguka mkuu, lengo kuu ni kuelimishana kukwepa mabalaa
Yawezekana:
1. Ulienda kununua bila kupata ushauri kwa mzoefu sababu ulijiamini uzoefu wako unatosha kulikagua gari.
2. hukutaka kumlipa fundi wa kulikagua.
3.ulienda na fundi kulikagua lakini fundi akazibwa mdomo na pesa.
---Ama sababu nyingine unazoweza kuziweka.
Kuwa huru kushare experience yako
Pia waweza kutupa elimu kwa ulichojifunza na umuhimu wake wa vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kununua gari...
Lets gooo!!
Nilinunua GX100 kumbe ilishapata ajali kibao bila kujua mtoto wa kihindi pale maeneo ya puma kariakooo kumbe anacheza mbio za magari, dadeki ukiangalia tokea mbele kwa mbali unaona goma imepinda, ila engine safi, Bado inadundaYawezekana:
1. Ulienda kununua bila kupata ushauri kwa mzoefu sababu ulijiamini uzoefu wako unatosha kulikagua gari.
2. hukutaka kumlipa fundi wa kulikagua.
3.ulienda na fundi kulikagua lakini fundi akazibwa mdomo na pesa.
---Ama sababu nyingine unazoweza kuziweka.
Kuwa huru kushare experience yako
Pia waweza kutupa elimu kwa ulichojifunza na umuhimu wake wa vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kununua gari...
Lets gooo!!
Genta mbona ana funcargo yuleMimi na Genta tu ndio hatuna magari humu JF
Ngozi nyeupe hasa wahindi na waarabu wale walioshika dini. Ni wakweli sanaKuna watu nawajua, wanatunza magari kuliko wake zao!
Sina ulazima wa kukagua gari zao nikihitaji kuwavua..
Hii nilijifunza hata mimi nikitaka kununua kitu changu sitakagi kabisaa kumshirikisha ndugu.Alienichoma ni ndugu yangu kabisa ili tu apate udalali