NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Yawezekana:
1. Ulienda kununua bila kupata ushauri kwa mzoefu sababu ulijiamini uzoefu wako unatosha kulikagua gari.
2. hukutaka kumlipa fundi wa kulikagua.
3.ulienda na fundi kulikagua lakini fundi akazibwa mdomo na pesa.
---Ama sababu nyingine unazoweza kuziweka.
Kuwa huru kushare experience yako
Pia waweza kutupa elimu kwa ulichojifunza na umuhimu wake wa vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kununua gari...
Lets gooo!!
1. Ulienda kununua bila kupata ushauri kwa mzoefu sababu ulijiamini uzoefu wako unatosha kulikagua gari.
2. hukutaka kumlipa fundi wa kulikagua.
3.ulienda na fundi kulikagua lakini fundi akazibwa mdomo na pesa.
---Ama sababu nyingine unazoweza kuziweka.
Kuwa huru kushare experience yako
Pia waweza kutupa elimu kwa ulichojifunza na umuhimu wake wa vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kununua gari...
Lets gooo!!