FORBIDDEN HISTORY
Senior Member
- Jul 28, 2024
- 125
- 224
Ahsante, inatibu kabisa kelele na kuisha mkuu?Ponda kitunguu maji kamua mchuzi wake ...huo mchuzi wake mimina sikioni...utaumia Ila utakaa sawa
Ndiyo mkuuAhsante, inatibu kabisa kelele na kuisha mkuu?
Au mafuta ya kuku kienyejiAhsante, inatibu kabisa kelele na kuisha mkuu?
Au bangi mbichi...twanga majani yake Kisha Mimina mchuzi wakeAhsante, inatibu kabisa kelele na kuisha mkuu?
Naomba kujua namna ya kupata mafuta haya kutoka kwa kuku mkuu.Au mafuta ya kuku kienyeji
Jamaica au sio haha?Au bangi mbichi...twanga majani yake Kisha Mimina mchuzi wake
Nunua kuku kienyeji tetea nyama yake ukiibandika motoni bila kuweka maji....ikaushe ikauke mpaka mafuta yajiengue yenyeweNaomba kujua namna ya kupata mafuta haya kutoka kwa mkuu.
Ahsante boss.Nunua kuku kienyeji tetea nyama yake ukiibandika motoni bila kuweka maji....ikaushe ikauke mpaka mafuta yajiengue yenyewe
Kuna mwalimu mwenzangu ndo kaponea kitunguu majiAhsante boss.
Samahani lakini mkuu, uliwahi tatizo hilo na solutions zikakusaidia?
Ahsante mtaalamKuna mwalimu mwenzangu ndo kaponea kitunguu maji