Uliwahi kuwafahamu au kuwasikia hawa?

Enzi izo nakua, kabla ya kamanda wala Machozi, kuna wimbo ulikua unaitwa "Kifo cha Mpenzi" aisee sijawahi usikia tena, sijui aliimba nani.

Mziki zamani ulikua haulipi kabisa.
 
☝️
- KAFIA GHETTO (HUSSEIN MACHOZI),
- MWANANGU HUNA NIDHAMU (DUDU ZURI),
- MDUNDIKO (MAMBO JAMBO CREW),
- VITUKO USWAHILINI (SUMA G),
- MTOTO WA GETI KALI (INSPECTOR HAROUN),
- CHEMSHA BONGO (HARD BLASTERS),
- NIKO BIZE (JAFARAI),
- N'TOKE VIPI? (BWANA MISOSI),
- MR. POLITICIAN (NAKAAYA SUMARI),
- TASWIRA (MAN'DOJO & DOMOKAYA)

Nitaendelea ...
 
Enzi izo nakua, kabla ya kamanda wala Machozi, kuna wimbo ulikua unaitwa "Kifo cha Mpenzi" aisee sijawahi usikia tena, sijui aliimba nani.

Mziki zamani ulikua haulipi kabisa.
kuna jamaa alikuwa anatumia jina kama lako Mad Max alitoa mojawapo ya albamu bora kabisa na mojawapo ya nyimbo nayoikumbuka ni vitu adimu. yoyote mwenye albamu anicheki

aim for the stars
 
Y Tony - Masebene. Mwenye hiyo nyimbo nitainunua kwa elfu10
 
Rakim
Ludacris
KRS 1
N.W.A
Dr DRE
Scarface
Andre 3000
NAS
Ice Cube
Public Enemy
Mobb Deep
Lauryn Hill
Red man
Jah Rule
 
Kali P
Squeezer
Mad ice
Nonini
C-Pwaa mzee wa cranks bongo
Soggy
Fagio la chuma
TNG squad
Father G
MacDizzo
Dah list ni ndefu aisee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…