enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 341
Nakumbka mm wakati nipo darasa la nne alikuja mama mkubwa toka nairobi alinambia ukiwa wa kwanza tunaenda wote nairobi,mungu xaidia nkawa wa kwanza kweli darasani kwetu nkamkumbusha ahadi yake akaxema sawa hamna shida,nkaanza maandalizi ya xafari apo wiki moja kabla nkapanga nguo na kila kitu changu apo mbwembwe kibao kwa marafiki zangu kwamba naenda nairobi kwanza nlikuwa nina hamu ya kupanda ndege pil kuvuka boda,siku ya siku ambayo ndo siku yenyewe kuondoka nakumbka siku hiyo nililala mapema ili niwah kuamka,ila cha kushangaza nlipokuja kuamka nlikuta tayr mamkubwa kaondka!asee sitosahau niliumia sana marafk zangu walincheka na kuntania vibaya kwa fedheha,,,je kwako ilikuwaje?