Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea kwenye familia masikini na duni au kuanza maisha 2-0?

Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea kwenye familia masikini na duni au kuanza maisha 2-0?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Bila shaka kufanikiwa kwa mtu katika maisha inategemea mambo mengi sana na jambo mojawapo muhimu ni aina ya familia anayotoka.

Kwa watu wanaozaliwa katika familia tajiri "silver spoon" zenye kipato kizuri kutokufanikiwa ni wao waamue wenyewe kuharibu ila kwa wale wanaotoka katika familia maskini zenye kipato cha chini cha kuganga njaa tu maisha yasogee, zisizo na ardhi au mtaji, zisizo na elimu au koneksheni za maana njia ya mafanikio huwa ni jasho na damu, kama ni mchezo wa mpira tungesema wanaoanza maisha wakiwa nyuma 0-2 ,0-3 wakati wenzao wa familia bora wakiwa wanaongoza 2-0 na familia za kawaida 0-0

Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea familia masikini huku ukiwasadia baba, mama, kaka, dada, wajomba, shangazi, wapwa n.k wanaokutegema na kuhitaji msaada wako kuweza kujikimu? Mbinu gani ulitumia?
 
Wakati naanza chuo nilikua na matumaini lukuki mimi pamoja na wazazi wangu katika suala zima la ajira.

Wazazi walikua na matumaini makubwa ya kunisomesha ili baadae nije kuwasaidia ndugu zangu hivyo waliwekeza sana kwangu ukizingatia mimi ndio First born.

Allihamdullilah!! Mungu alijalia niliweza kupata mkopo wa 80% pamoja na hela za stationary.

Nilipokua mwaka wa kwanza na wa pili nilikua na matumizi mabovu ya pesa,kiufupi nilikua sina nidhamu ya hela,Nguo na viatu fashion mpya vikitoka ilikua lazima ninunue.

Sasa nilipofika mwaka wa tatu nikawa nawaona marafiki zangu walio graduate wapo wanahangaika katika maswala mazima ya ajira.

Hii ilinipa picha kua ni jinsi gani maisha ya mtaani yalivyo, Kwahyo mwaka wa tatu wote ilinibidi ni save hela ili nikimaliza chuo nipate angalau pa kujishikiza.

Mpaka na graduate nilifanikiwa ku save M1.8 hii pesa ilinisaidia kuanzisha biashara Mabibo sokoni.

Hii biashara niliifanyia research kwanza kwa ndugu zangu ambao walikua wanazifanya ko walinipa A,B C.

Kwakua ile biashara niliifanya kwa moyo wote na kwa kuipenda biashara ilikua ina run smoothly niliweza ku save 25K kila siku as a profit,Siku biashara ikiwa mbaya at least nilikua na save 15K kwa siku.

Baada ya miezi 11 toka nianze biashara nilifanikiwa kununua pikipiki mbili na kuwapa vijana kwa mkataba.


Mpaka leo hii nime move from lower point to another which is high Allihamdullilah.[emoji2969]

Kuna baadhi ya wanangu nilio graduate nao mpaka leo ni ma jobless kwa kuamini kua unaweza kutoboa maisha kwa kuajiriwa.
 
Wakati naanza chuo nilikua na matumaini lukuki mimi pamoja na wazazi wangu katika suala zima la ajira.

Wazazi walikua na matumaini makubwa ya kunisomesha ili baadae nije kuwasaidia ndugu zangu hivyo waliwekeza sana kwangu ukizingatia mimi ndio First born.
Hili ni somo kubwa sana mkuu kwa vijana wengi.
 
Naona mwandishi ame focus sana kuwa mafanikio ni kuwa na mapesa mengi, mapene wingi wa biashara na malimbikizi ya majumba na mali zingine nyingi nyingi.. ame base kwenye mafanikio ya aina moja tu.. MAFANIKIO NI NINI? Mtu akifanikiwa anakuaje? Tabia kiujumla au awe na pesa tu na kusaidia ndugu zake.. njia gani? Kapata hayo mafanikio ya kifedha kweli ameua na kutoa kafala ndio kapata mapesa je? Hayo ni mafanikio.. je? Anamapesa mengi ila amezaa na wanawake zaidi ya 7 na hatoi huduma mafanikio ya pesa ya a faida gani?.. mtoa mada sorry sana .. ngoja niache tu hii mada naona haipo upande wangu
 
Naona mwandishi ame focus sana kuwa mafanikio ni kuwa na mapesa mengi, mapene wingi wa biashara na malimbikizi ya majumba na mali zingine nyingi nyingi.. ame base kwenye mafanikio ya aina moja tu.. MAFANIKIO NI NINI? Mtu akifanikiwa anakuaje? Tabia kiujumla au awe na pesa tu na kusaidia ndugu zake.. njia gani? Kapata hayo mafanikio ya kifedha kweli ameua na kutoa kafala ndio kapata mapesa je? Hayo ni mafanikio.. je? Anamapesa mengi ila amezaa na wanawake zaidi ya 7 na hatoi huduma mafanikio ya pesa ya a faida gani?.. mtoa mada sorry sana .. ngoja niache tu hii mada naona haipo upande wangu
Mafanikio ni pesa nyingi za kuweza kutosheleza mahitaji yako yote au ya familia na kuweza kuweka akiba ya kutosha wakati wa dharura bila kutetereka.
 
Bila shaka kufanikiwa kwa mtu katika maisha inategemea mambo mengi sana na jambo mojawapo muhimu ni aina ya familia anayotoka.

Kwa watu wanaozaliwa katika familia tajiri "silver spoon" zenye kipato kizuri kutokufanikiwa ni wao waamue wenyewe kuharibu ila kwa wale wanaotoka katika familia maskini zenye kipato cha chini cha kuganga njaa tu maisha yasogee, zisizo na ardhi au mtaji, zisizo na elimu au koneksheni za maana njia ya mafanikio huwa ni jasho na damu, kama ni mchezo wa mpira tungesema wanaoanza maisha wakiwa nyuma 0-2 ,0-3 wakati wenzao wa familia bora wakiwa wanaongoza 2-0 na familia za kawaida 0-0

Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea familia maskini huku ukiwasadia baba, mama, kaka, dada, wajomba, shangazi, wapwa n.k wanaokutegema na kuhitaji msaada wako kuweza kujikimu? Mbinu gani ulitumia?
In order to be successful in real life it only needs three things courage, determination and discipline. Because discipline it will take you to the place where motivation can't.
 
Mafanikio ni pesa nyingi za kuweza kutosheleza mahitaji yako yote au ya familia na kuweza kuweka akiba ya kutosha wakati wa dharura bila kutetereka.

Hii define kwa mujibu wa Nani? Mkuu
 
Wakati naanza chuo nilikua na matumaini lukuki mimi pamoja na wazazi wangu katika suala zima la ajira.

Wazazi walikua na matumaini makubwa ya kunisomesha ili baadae nije kuwasaidia ndugu zangu hivyo waliwekeza sana kwangu ukizingatia mimi ndio First born.

Allihamdullilah!! Mungu alijalia niliweza kupata mkopo wa 80% pamoja na hela za stationary.

Nilipokua mwaka wa kwanza na wa pili nilikua na matumizi mabovu ya pesa,kiufupi nilikua sina nidhamu ya hela,Nguo na viatu fashion mpya vikitoka ilikua lazima ninunue.
Ni biashara gani hiyo boss
 
Wakati naanza chuo nilikua na matumaini lukuki mimi pamoja na wazazi wangu katika suala zima la ajira.

Wazazi walikua na matumaini makubwa ya kunisomesha ili baadae nije kuwasaidia ndugu zangu hivyo waliwekeza sana kwangu ukizingatia mimi ndio First born.

Allihamdullilah!! Mungu alijalia niliweza kupata mkopo wa 80% pamoja na hela za stationary.

Nilipokua mwaka wa kwanza na wa pili nilikua na matumizi mabovu ya pesa,kiufupi nilikua sina nidhamu ya hela,Nguo na viatu fashion mpya vikitoka ilikua lazima ninunue.

Sasa nilipofika mwaka wa tatu nikawa nawaona marafiki zangu walio graduate wapo wanahangaika katika maswala mazima ya ajira.

Hii ilinipa picha kua ni jinsi gani maisha ya mtaani yalivyo, Kwahyo mwaka wa tatu wote ilinibidi ni save hela ili nikimaliza chuo nipate angalau pa kujishikiza.

Mpaka na graduate nilifanikiwa ku save M1.8 hii pesa ilinisaidia kuanzisha biashara Mabibo sokoni.

Hii biashara niliifanyia research kwanza kwa ndugu zangu ambao walikua wanazifanya ko walinipa A,B C.

Kwakua ile biashara niliifanya kwa moyo wote na kwa kuipenda biashara ilikua ina run smoothly niliweza ku save 25K kila siku as a profit,Siku biashara ikiwa mbaya at least nilikua na save 15K kwa siku.

Baada ya miezi 11 toka nianze biashara nilifanikiwa kununua pikipiki mbili na kuwapa vijana kwa mkataba.


Mpaka leo hii nime move from lower point to another which is high Allihamdullilah.[emoji2969]

Kuna baadhi ya wanangu nilio graduate nao mpaka leo ni ma jobless kwa kuamini kua unaweza kutoboa maisha kwa kuajiriwa.
Uwezakano wa kusev 1.8m mwak w 3 tu?
 
In order to be successful in real life it only needs three things courage, determination and discipline. Because discipline it will take you to the place where motivation can't.
motivation spaeaker go lost you.
these things you listed here doesn't work any how in the field. life and successful always work in mysterious ways.
in Islam we say:,
Juhudi HAZISHINDI KUDRA.
 
Back
Top Bottom