computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 488
- 535
kuna competent doctor mmoja ameacha kazi na kuamua kuwa mkulima watu hawamuelewi wanamwita chizi
ila tangu ameacha kazi mpaka sasa haujapita mwaka ameshaweza kumiliki mashamba kadhaa ana trkekta la kukodisha na kutumia kwenye shughuli zake na ana scania tayari kwa ajili ya kudistribute bidhaa zake jamaa namuona mbali sana ndani ya miaka mitano ijayo.
ila tangu ameacha kazi mpaka sasa haujapita mwaka ameshaweza kumiliki mashamba kadhaa ana trkekta la kukodisha na kutumia kwenye shughuli zake na ana scania tayari kwa ajili ya kudistribute bidhaa zake jamaa namuona mbali sana ndani ya miaka mitano ijayo.