Uliwezaje kufungia vyeti kabatini kisha ukajiajiri?

Tena kwenye kundi hili sio wengi
Kwa mtu mwenye ndoto kubwa maishani hawezi kushabikia swala la kuajiriwa kabisa. Wale wanaoamini katika uthubutu na growing a small project into a very huge profitable business. Ndio hao kina bill gates, steve jobs and the like. Japo walitokea in rich families ila wameweza ku prosper into multimillionaires.
 
Mzee umetembea mle mle yaani
 
Mzee umetembea mle mle yaani
Yeah, kwa wale wanaotaka endeleza mfumo ule ule wa wazee wetu uliozoeleka kama soma-ajiriwa-jenga-oa-lipa ada-staafu-kufa inawezekana ukiwa umeajiriwa. Huwezi kuacha legacy duniani.
Pia kuna jambo nalifikiria sana kama kizazi chetu tunateseka hivi vipi hao watoto wetu huko mbeleni hali itakuwaje? Ina maana utapenda mwanao aje kuteseka kama wewe ulivyoteseka kupata ajira. Lazma tufikirie mbeleni itakuwaje? Vile vipacha vya mengi ni vi zimba tayari japo havijamaliza hata darasa la 7!
 
Na uvumilivu jamani mimi naanzishaga vimradi tu ila bado sijaanza kula matunda yake nimelima papai sasa ndio zina beba watoto nimesia pilipili mbuzi kweny vitalu tayari kwenda kupanda. Biashara inayoniingizia fedha kwa sasa ni nimelima bustani ya mboga ndio nafanya ya kulipia bili ya maji na kupata vocha hapa nampango wa kulima ufuta masika, na kufuga kuku na bafo hapo sijaanza kushika pesa ya miradi ya mwanzo. Huku wenzangu naona wanatanua viti virefu. Ujasiriamali ni uvumilivu wa hali ya juu na udhubutu pia kutokukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati nasoma nikiweka akilini vitu viwili.....hakuna bilionea anaelipwa mshahara(wanajiajiri)....na nikakumbuka mimi napenda raha nikakumbuka safari za mama kikazi nikaona kabisa haya maisha ya kumuita mtu bosi ni magumu....,nilipomaliza chuo nikapata kazi ya muda lakini niliishia kuwa mfanyakazi mvivu kuliko wote ndipo nikajitahidi kuiba sana na hatimaye sasa hivi nazunguka tu kitini kahawa pembeni/asante mungu
 
Hakika chief
 
Duh,
Kweli wee jamaa ni Mhadzabe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa..ni kwamba umejiajir au umeajiriwa?
 
It's hardly truth broh and it sucks...[emoji20][emoji20]

#Muungwana_John
 
Hahaha ukajitahidi kuiba sana hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yuko mkoa gani huyu aisee
 
Mkuu umesoma shebby mwaka gan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mje kunitia moyo. Mimi nimemaliza form six mwaka huu. Ila naona ndoto yangu ya ujasiriamali ni kubwa kuliko kupoteza miaka 3 chuo na kozi zisizona uhalisia.
Bipi lakini umefaulu au unataguta kichaka
 
H
Hakika uvumilivu ni silaha tosha
 

Kama umeanza biashara kwa pesa ya kuiba trust me hiyo biashara yako haita kuwa endelevu utakumbwa na misukosuko.
 
Kama umeanza biashara kwa pesa ya kuiba trust me hiyo biashara yako haita kuwa endelevu utakumbwa na misukosuko.
Inategemea na aina ya wizi wenyewe halafuu.... Kuna wizi mzuri na mbaya

Mtu akiiba biblia akaenda kuiweka kabatini, huyo ni mwiz mbayaa,

Anae iba biblia akaenda kuhubiri huyo n mwiz safiii kabisaaa.

Mwizi anaeiba mbegu akaenda kuzipanda ni nwizi bora kabisa. Lakini anaeiba mbegu akaenda kuzila huyo hafai kabisaa.

Sasa jamaa kama aliiba na kaanzisha ofis yake ambayo imeajiri/ itaajiri watu, hizo ni baraka utasubili sana hamaa afirisike.... Utasubiri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…