Mwee! Chuoni mie nilikuwa domo zege. Nilikuja gegeda mbususu mwaka wangu wa mwishoooo.Mkuu mzabzab karibu sana kwa shuhuda zako za uponyaji ulipokuwa chuoni..
Yani nilifunga goli jioooniiiiiii!!!!
I wish to go back to university.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwee! Chuoni mie nilikuwa domo zege. Nilikuja gegeda mbususu mwaka wangu wa mwishoooo.Mkuu mzabzab karibu sana kwa shuhuda zako za uponyaji ulipokuwa chuoni..
Afya njema ndio muhimu. Tuangalie tunachokula..mazoezi kwa wingi na bila kusahau kugegeda na kugegedwaUmri ni namba tu ,ukifika utajua.
Ukiwa na 20 unaona 30 ni umri mkubwa sana ,ukifika 30 unajina mdogo na unafikiri 40 ni umri mkubwa sana ,unafika 40 unajiona bado una umri mdogo ,unaona 50 ni kubwa sana ,unafikia 50 unaona bado umri mdogo ,si umemuona EL Buggati na Zaylissa wanakula bata kwenye bahari? Sasa Manara ni 50 ,Masoud Kipanya 50 ,Zembwela 50 na si umewaona bado energetic? Haya Pata Picha Mama Samia 65 lakini bado ana nguvu.....Wassira 80 kaongezewa majukumu
Cha umuhimu kuomba Mungu akupe afya njema maana ukiwa na afya mbovu at 20s unaweza ukaonekana BABU.
Yes umeandika vema sana mkuu wangu..Wanakuaga fair sana ila wengine wanakua limbukeni na mademu. Kama kuna mmoja tulisoma naye alikua anawenge sana na madem level of concentration ikawa inapungua. Ila story zake sasa ukiwa bwege anakubeba na uongo.
Sasa naona namimi nitaenda kuwa mtu mzima nayesoma na watoto mwaka ujao nikiingia Post Graduate.
Wale wamama/wababa wana experience nzuri sana za maisha..Mwee! Chuoni mie nilikuwa domo zege. Nilikuja gegeda mbususu mwaka wangu wa mwishoooo.
Yani nilifunga goli jioooniiiiiii!!!!
I wish to go back to university.
Ukitaka uwapige pesa hao in-service, wewe jibidiishe katika assigment na group work, utakula hela zao mana ni wavivu(1) Kuna rafiki yangu yeye aliambukizwa "ngoma" na mmama (cashier wa bank fulani) aliyekuja kujiendeleza. Jamaa sasa hivi ni mwendi wa ARVs. Sad indeed.
(2) Kuna sister mmoja agemate yeye alisaidiwa connection mwaka 2012 akaingia Polisi.
(3) Kuna braza mmoja alitokea NMB yeye alikuja kujiendeleza, alikuwa hapendi shikamoo ilhali alituacha kama miaka 15 hivi. Tulikuwa tunamkwepa discussion groups.
(4) Jamaa yangu alikutana na Mwalimu wake wa Secondary O level darasa moja, chuo kimoja. Wakawa wanaonea aibu..
Kijana mdogo (fresh from school) Uliwezaje kuishi na mibaba/mimama waliokuja kujiendeleza kimasomo chuoni.
~ SIPENDI SIASA ~
Alooh jamaa aliona alipige lishangazi kavu kavu...hatari mishangazi imejaa umeme ila mitamu hiyooo(1) Kuna rafiki yangu yeye aliambukizwa "ngoma" na mmama (cashier wa bank fulani) aliyekuja kujiendeleza. Jamaa sasa hivi ni mwendi wa ARVs. Sad indeed.
(2) Kuna sister mmoja agemate yeye alisaidiwa connection mwaka 2012 akaingia Polisi.
(3) Kuna braza mmoja alitokea NMB yeye alikuja kujiendeleza, alikuwa hapendi shikamoo ilhali alituacha kama miaka 15 hivi. Tulikuwa tunamkwepa discussion groups.
(4) Jamaa yangu alikutana na Mwalimu wake wa Secondary O level darasa moja, chuo kimoja. Wakawa wanaonea aibu..
Kijana mdogo (fresh from school) Uliwezaje kuishi na mibaba/mimama waliokuja kujiendeleza kimasomo chuoni.
~ SIPENDI SIASA ~
AiseeNilikuwa nawakatia pindi na wengine nawafanyia mitihani kwa malipo ya fedha na utamu
Ukibahatika kuwa karibu nao ni vyema ukapata mawili matatu kuhusu life toka kwaoWale wamama/wababa wana experience nzuri sana za maisha..
ticha mtaala mpya unauonaje?Aisee
Nimemaliza mwaka jana na madogo wenye mindset kama yako, full kujiona watoto yaani nimewaacha kama miaka 4 tu wengine waliochelewa shule tunakaribiana kabisa ila wanafosi kunilinganisha na baba zao.Kijana mdogo (fresh from school) Uliwezaje kuishi na mibaba/mimama waliokuja kujiendeleza kimasomo chuoni.
~ SIPENDI SIASA ~
Maisha yaendeleeticha mtaala mpya unauonaje?