Uliwezaje kuishi na wababa au wamama waliotokea kazini kuja kujiendeleza kimasomo chuo?

Afya njema ndio muhimu. Tuangalie tunachokula..mazoezi kwa wingi na bila kusahau kugegeda na kugegedwa
 
Yes umeandika vema sana mkuu wangu..
 
Kuna jamaa alikuwa soja tumepiga nae bachelor alikiwa na nyota kazaa madem wote chuo wake..ilaaa alikuwaa hana shda ...kuna jmama lenyewe lilikuwa na RAUM class hakuna n bata na VIBENTEN ila likiona mna njaaa linawapakia kwa ndnga ake mbele....IN SHORT IN SERVICE WENG VYUON HAWANAGA NOMA SEMA HUWA N KAMA WAME COME CHUO KU RELAX
 
Hiyo ya kukataa shikamoo ipo hata mtaani DSM.wati hawazitaki kabisa shikamoo.wanapenda waamkiwe mambo?
 
Ngoja kuna mtu anashuhuda wa jinsi anavyososoma na bibi yako mzaa baba pale UD
 
Mwee! Chuoni mie nilikuwa domo zege. Nilikuja gegeda mbususu mwaka wangu wa mwishoooo.
Yani nilifunga goli jioooniiiiiii!!!!
I wish to go back to university.
Wale wamama/wababa wana experience nzuri sana za maisha..
 
Ukitaka uwapige pesa hao in-service, wewe jibidiishe katika assigment na group work, utakula hela zao mana ni wavivu
 
Alooh jamaa aliona alipige lishangazi kavu kavu...hatari mishangazi imejaa umeme ila mitamu hiyooo
 
Kijana mdogo (fresh from school) Uliwezaje kuishi na mibaba/mimama waliokuja kujiendeleza kimasomo chuoni.

~ SIPENDI SIASA ~
Nimemaliza mwaka jana na madogo wenye mindset kama yako, full kujiona watoto yaani nimewaacha kama miaka 4 tu wengine waliochelewa shule tunakaribiana kabisa ila wanafosi kunilinganisha na baba zao.

Na vile nilikuwa najimudu class basi nilikuwa nawazoom tu wanavyowaoshea in service wengine huku mie wakiniogopa na kunishangaa siingii class lakini performance ipo juu siku zote. Ile mindset ya kuwa in service wanahitaji kufanyiwa assignments, kusaidiwa kwenye discussion na kwenye mitihani kwangu ilikuwa tofauti kwani walikuwa wakiniomba nifike discussion na mara nyingi sikuwa nikifika hivyo wakaniona naringa wakati mwenzao nimeenda chuo kupumzika.

Mwanzo nimefika zangu nimechelewa sana karibia test 1 zinaanza, sasa kuna madogo freshers watatu wakaanza mbwembwe za kunifundisha wakiamini sina chochote kichwani, nikawa najisemea mngejua wa kufundishwa na mwanafunzi mwenzie si mimi. Tests zilipoanza kuchanganya mambo yananiendea vizuri madogo wakaanza kunitangazia vita oooh ngoja tukusomee, nikwaambia badala msomee familia zenu mnanisomea mimi ambaye nimeijia cheti tu niondoke nikasote na ya kwangu, baadaye walinizoea wakawa mabest hadi leo hii
 
Alidisco mzee wa watu tukabaki tunacheza sana tukikumbushana story zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…