Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Uliwezaje kumwongoza kijana balehe kimalezi kwenye umri wa upumbavu (foolish age)?
Umri una changamoto sana huu maana kijana ameanza kuutambua ulimwengu na mema yake.
Kipindi hiki kiburi kinakuwa kwenye ubora wake
Kama ni mkaka basi atajiona tayari kawa mbaba
Kama ni mdada basi atajiona tayari kawa mama
Kama ni mchepukaji utamjua kipindi hiki
Uliwezaje kudhibiti tabia za kijana katika umri huu?
Je ulifanikiwa au ilikuwa ni kama unampigia mbuzi gitaa ukitegemea atacheza?
Umri una changamoto sana huu maana kijana ameanza kuutambua ulimwengu na mema yake.
Kipindi hiki kiburi kinakuwa kwenye ubora wake
Kama ni mkaka basi atajiona tayari kawa mbaba
Kama ni mdada basi atajiona tayari kawa mama
Kama ni mchepukaji utamjua kipindi hiki
Uliwezaje kudhibiti tabia za kijana katika umri huu?
Je ulifanikiwa au ilikuwa ni kama unampigia mbuzi gitaa ukitegemea atacheza?