feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Wakuu habari ya hapa jukwaani.
Binafsi sina gari ila natamani sana kua na gari, mwaka 2017-2018 nilijaribu kufanya biashara ndogo ndogo na kuweka pesa ili angalau ninunue hata gari used ilipofika 2.3 M nikaangukia pua.
Mwaka 2020 nimeanza kujipanga upya ila sijajua mbinu ninazopaswa kutumia ili nimiliki gari. Kwa ninyi mliofanikiwa kununua magari naomba nielezwe mliwezajewezaje yaani je mlikopa bank, mliweka kwenye kibubu au ulitumia mbinu ipi kujichanga mpaka ukamiliki gari yako mwenyewe hata kama ni used.
Kipato changu kwa mwezi ni 500-700k japo nategemea kuongezeka 2021 kwa kua tayari nina vibiashara vidogo viwili.
Naomba mbinu wazee.
Nawasilisha.
Binafsi sina gari ila natamani sana kua na gari, mwaka 2017-2018 nilijaribu kufanya biashara ndogo ndogo na kuweka pesa ili angalau ninunue hata gari used ilipofika 2.3 M nikaangukia pua.
Mwaka 2020 nimeanza kujipanga upya ila sijajua mbinu ninazopaswa kutumia ili nimiliki gari. Kwa ninyi mliofanikiwa kununua magari naomba nielezwe mliwezajewezaje yaani je mlikopa bank, mliweka kwenye kibubu au ulitumia mbinu ipi kujichanga mpaka ukamiliki gari yako mwenyewe hata kama ni used.
Kipato changu kwa mwezi ni 500-700k japo nategemea kuongezeka 2021 kwa kua tayari nina vibiashara vidogo viwili.
Naomba mbinu wazee.
Nawasilisha.