Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

copy n paste from grok AI
The sensation of sand on the penis during sex is most likely caused by the partner's vaginal dryness, which can lead to friction that feels rough or grainy. Vaginal dryness is common, especially during or after menopause, and can be due to hormonal changes, medications, or other factors. This dryness might make the vaginal tissues feel less lubricated, leading to discomfort during sex that the penis perceives as sand-like.
Jibu ndo hili, uke mkavu ndo huwa unakuwa hivyo na hapo mwanamke anapata maumivu sana michubuko ya kutosha, Pia hii hutokea kwa walio na magonjwa hasa ya zinaa,
 
That's VAGINAL DRYNESS. Mkuu mfanyie ratiba ya kula zaidi mboga kama BAMIA, mrenda, nyanya chungu, biringanya, avocado's, banana something like this after two or three weeks kitu itakuwa very smooth 😂
Ina maana hamuandai vizuri binti wa watu, au anatumia muda mrefu binti anachoka V inakauka
 
MamaJ tumepeana kabreak flan, Kila nkitaman kuwaletea huo Uzi mambo yanakua mengi, Nshaanza adi kumsahau.
Kwa huo mchanga utarudi tu kwa mama jay muda si mrefu,

Japo hiyo hali hutokea hata kwa mwanamke mgeni wa mapenzi, watoto, kubakwa na asie na msisimko na wewe, ukiingia wewe unakutana na kifusi cha mchanga lakini akipita mwingine anateleza tu,
 
Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.

Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.

Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.

Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.

Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.

HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.

NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI

NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.

Nawasilisha🙏🙏
Huo mchanga itakuwa anapenda kwenda beach kucheza mchanga akiwa hajavaa chupi. Mwambie aoshe K unatoka tu ingawa ni mdogo mdogo atumie maji mengi unatoka. Hata miguu huwa unashika. Hiyo issue ndogo sana
 
Ina maana hamuandai vizuri binti wa watu, au anatumia muda mrefu binti anachoka V inakauka
Huyu DeepPond kwa maelezo yake anakutana na hii hali mwanzo kabisa wakati wanatafta kumfunga Diarra goli la kwanza. Ila aangalie pia yawezekana binti anatumia sana pilipili na unywaji wa maji kwake yawezekana ikawa ni kwa nadra sana.
 
Back
Top Bottom