Uliwezaje kuwa mlevi wa pombe(kunywa pombe)

Uliwezaje kuwa mlevi wa pombe(kunywa pombe)

Ukiwa mnywaji wa pombe huna kipato kinochoeleweka unaonekana mwehu, so tafuteni pesa vijana, Pombe siyo zambi umaskini ndio unafanya Pombe ionekane mbaya
 
Alooooooooo.
Habari za wakati huu wana jukwaa.

Kama kawaida ya watu wengi wamekua wakizifagilia pombe kwamba ni miongoni wa starehe pendwa duniani.
Lakini kwangu mimi ni tofauti maana si mtumiaji wa pombe kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kiafya.
Nahitaji uzoefu wenu katika hili.




NB:UKIONA Uzi hauJaKuvuTIa kaa mbali[emoji779][emoji779][emoji779]
Nilianza kunywa pombe baada ya demu niliyempenda kunikataa.

Nikaja kuona kumbe bia Tamu nyie.

Ila nimeacha
 
BABA ANAKUNYWA MAMA ANAKUNYWA KAK ANAKUNYWA LAKIN MIMI CNYWI NA CJAWAHI KUNYWA KABSA NA CJUI KWA NINI
 
Nilianza kitambo hicho nikiwa primary, nikapumzika kwa muda mrefu mpaka nilipomaliza form 4 nikawa napiga sikukuu tu.

Nilipomaliza six nikafungulia bomba, sasa ni mnywaji mzuri tu

Pombe tamu jama, msiokunywa mnakosa mengi.
Acha tuyakose tu Kibongobongo[emoji57]
 
Nimewahi kujaribu kitu Cha grants...nilitapika sana asbh kichwa kikawa kizito balaa..nikajaribu Captain Morgan Hali ikawa Moja[emoji16][emoji16]mpaka Reds laini nayo ishawahi kuniletea matokeo ya kutapika na kuumwa kichwa asbuh....kwahivo Pombe is not my thing kabisa[emoji114][emoji119]ila nashukuru sana Mungu Kwa Hilo...kilevi changu kahawa [emoji474]tu...kina capuchino pesa yenyewe ya manati[emoji16][emoji1][emoji57][emoji39]..
 
Back
Top Bottom