Uliyeanza nae hutaendelea nae.

Husninyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2010
Posts
23,851
Reaction score
9,472
Hivi ni kweli mtu wako wa kwanza uliyeanza nae mahusiano ya mapenzi huwa hamdumu hadi kufikia ndoa?
Ataanza wa kwanza halafu atakayefatia wa 2,3,4.... Ndiye utakayemuoa/atakayekuoa.
Halafu ni kweli watu wanaodumu muda mrefu kwenye uchumba, ndoa zao hazidumu kwa muda mrefu?
 

Haina ukweli hii Husninyo maana wako waliobahatika na kuendelea kuwa pamoja katika ndoa pia.

 

Hizo ni fikra zenye matege, every thing is bound to plight and determination!
 
You may be right mydear! Tuseme wachumba wa muda mrefu 80% hawaoani....
 
mmh i dont think soo wallah maana mimi nimeanza nae wa kwanza na mpaka sasa we are about to get marriedge inshallah na ndoa yetu idumu kwa mapenzi tuliyonayo..
 
mmh i dont think soo wallah maana mimi nimeanza nae wa kwanza na mpaka sasa we are about to get marriedge inshallah na ndoa yetu idumu kwa mapenzi tuliyonayo..

hongera. Nafikiri ukishaolewa na tukapata wengi wa dizaini yako tutaconclude ni uongo.
 
Ukichukulia kwa ujumla, your falsafa is true kwa 88% . . . . . ila kwa mtu mmoja mmoja its true kwa 55%
 
okay... (thats why i said i dont think soo..) lakini inshallah kheyr my dear kila mmoja atasema lake hapa kwa ajili mapenzi yana visa...
hongera. Nafikiri ukishaolewa na tukapata wengi wa dizaini yako tutaconclude ni uongo.
 
ni kweli kabisa cpu ndio maana nakufagilia upitie... hhhehheheeehe lol..
Ukichukulia kwa ujumla, your falsafa is true kwa 88% . . . . . ila kwa mtu mmoja mmoja its true kwa 55%
 
mmh i dont think soo wallah maana mimi nimeanza nae wa kwanza na mpaka sasa we are about to get marriedge inshallah na ndoa yetu idumu kwa mapenzi tuliyonayo..

Amina my dear.....Mola akupe hitaji la moyo wako,usiache kunialika.......:laugh:
 
heee michelle huyo akhbar yako... ok ishallah shukran...na mualiko utapata tuu wewe tena???

Habari ya Michelle nzuri mke mwenza,haya mi kazi kusubiri na kuandaa tiketi ka kuhudhuria hiyo ndoa,na kujipamba manake nisije aibisha watu mie....kama nakuona utakavyopendeza Nilham wangu,duh!!!:roll:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…