kidudukuntu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 286
- 206
Uyo gigy mindoticha wao minimalaya mbwaa naww siutak malayaS
Sina mtu! Nije pm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia ni dogo tuu mmoja , ila ana mguu wa mtoto ukimuona hautamdhania.
Wanaume wengi humu tunapiga kelele weee ya kwao hawayaoni km umalaya wengi wetu ni malaya maana km dem wako hujamkuta bikira ww unazani alijichokonoa ikatoka na ww ulisha wala madem wangap mbona hujisemi kua ni malaya ila gigy tu...Huyo unae muona malaya ndo anaweza akawa mke bora kuliko unaemuona anamaadili..Mimi sioni sababu ya kutoa hukumu ila naomba Mola amsaidie aache tabia mbaya na apate mme atulie
Kwanini mkuu?Jamaa anaitwa "mo j" mtangazaji wa choice FM aisee ni mwanaume mwenye roho ngumu kuliko wanaume wote duniani!
NB: Sina uhakika kama mimba ni yake
Tunawaza kijinga, watu hubadilika, na inawezekana walipima na kuamua kufanya hivo, yeye ni mwanamke tena anaweza kuwa bora kuliko aliyekuzaa ama unayemwona wa maana,,,,
Acheni kumdhalilisha Gigy
Ukimchunguza kuku kala nini hutomchinja ukamla, kinachomponza Giggy ni uwazi alionao.
Usharudi kuhesabiwa?Ha ha ha ha nacheka kwa raha mie
Ngoja nije pm mama tusimwage mchele kwenye kuku wengiUyo gigy mindoticha wao minimalaya mbwaa naww siutak malaya
Ndiyo mkuuUsharudi kuhesabiwa?
siwezi bisha lakini...kuna jamaaa alikua mtu wa dini sana alioa malaya aliekua kashindikana pale kitaaa kutokana na yule jamaaa kumjali na kumtunza yule dem alizaa na jamaa watoto watatu na dem alikua ametulia mpaka navo kuambia wamejenga kitunda na mtoto wao wa kwanza yupo form2 ....hao ndo walio nipa fundisho aisee .Hakuna malaya yeyote anayeoenda kufanya kazi ile amin nakuambia tafuta malaya yeyote muulize kiistaraaabu tu kwa nn anapenda hiyo kazi....Apate mume atulie wakati mtu kishaliwa na mijamaa zaidi ya 60. Wewe tu mwenyewe jiulize, unaweza kuoa mwanamke kama Gigi? Machangu hawabadiriki hata iweje, watatulia kidogo then baadaye ile hamu ya mateso inawajia na kurudi mawindoni kujikumbishia zama zao.