Technical open? Labda ungwiniOk, nawish kusoma degree ya technical education ambao msingi wake ni phy,math & Chen.Naomba kujua kama masomo n hayoo coverage yake inakua n ileile kam ya A- level au tofaut,ili nianze maandaliz mapema?
Open nasoma foundation npate credit za kwenda degree,hiyo technical inatolewa MUST not openTechnical open? Labda ungwini
Hakuna MTT labda kama wameanzisha Sasa hivi.Habari
Naomba kufahamishwa kuhusu ASSESSMENT YA SOMO LA UTAFITI (RESEARCH)
Je pamoja na kufanya Research yenyewe, huwa kuna MTT na ANNUAL kama kawaida?
Je huwa wanafunzi wanakuwa assigned SUPERVISOR wa research?
Anauliza mwanafunzi wa LL.B mwaka wa 3
Asante mkuu, naomba nisaidie kuhusuHakuna MTT labda kama wameanzisha Sasa hivi.
Mwongo
Habari
Naomba kufahamishwa kuhusu ASSESSMENT YA SOMO LA UTAFITI (RESEARCH)
Je pamoja na kufanya Research yenyewe, huwa kuna MTT na ANNUAL kama kawaida?
Je huwa wanafunzi wanakuwa assigned SUPERVISOR wa research?
Anauliza mwanafunzi wa LL.B mwaka wa 3
Niambie mwaka jana 2021/2022 wamefanya face to face mara ngapi.Mwongo
Naweza kupata mawasiliano ya mojakwa moja na muhusika yeyote WA chuoUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute@Tanzania inchi yangu ni member humu atakusaidiaNaweza kupata mawasiliano ya mojakwa moja na muhusika yeyote WA chuo
Open Foundatio Course OFP inakuruhusu kuomba chuo chochote kilicho chini ya TCU.dindilichuma NAOMBA UNISAIDIE
1. JE OFP UKIFAULU UNAWEZA KUSOMA CHUO KIKUU CHOCHOTE ,KM UDOM SIJAONA KM WANACHUKUA WENYE FOUNDATION
2. JE UNAWEZA KUJIUNGA NA CERTF OPEN UNIVERSITY KWA MATOKEO YA 3.24 FORM 4 ALAF ANA" C " 4 ILA ANA "F" YA MATH JE ANAWEZA KUJIUNGA KUSOMA CERTIFICATE IN COMPUTER SCIENCE AU IT AU ICT
3. KIVIPI UNAWEZA KUAPPLY FOUNDATION COUrse online mwenyewe
dindilichuma
Wanafunzi wanaolewa supervisor na kunakua na Research Viva ukishamakizaWewe ni kilaza kweli.
Umeshindwa kupata taarifa kwenye Prospectus ya Open University?
Jibu ni kuna MTT na Annual pia Supervisor unakuwa allocated baada ya wewe kuapply kupitia email ya Research Coordinator ukiwa umeambatanisha matokeo yako ya SARIS.
Je unaweza kudahiliwa OUT ukiwa bado ni mwanafunzi wa chuo kingine? pia Ada kwa Units za bachelor ni bei gani?Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo wa udahili vyuo vikuu kwa kozi za undergraduate uko centralised na unadhibitiwa na TCU.Je unaweza kudahiliwa OUT ukiwa bado ni mwanafunzi wa chuo kingine? pia Ada kwa Units za bachelor ni bei gani?
Hello,je Ni kozi gani nzuri za postgraduate diploma anaweza kusoma mtu aliegraduate degree ya science with educationUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Foundation Ina units ngapi?Mfumo wa udahili vyuo vikuu kwa kozi za undergraduate uko centralised na unadhibitiwa na TCU.
Mwanafunzi hawezi kudahiliwa na kusoma vyuo viwili kwa wakati mmoja.
Ada kwa unit
Certificate, Diploma na Foundation ni 40,000 kwa unit
Bachelor degree- 60,000 kwa unit
Postgraduate Diploma- 180,000 kwa unit
Masters - 180,000 kwa unit
Foundation Ina units ngapiMfumo wa udahili vyuo vikuu kwa kozi za undergraduate uko centralised na unadhibitiwa na TCU.
Mwanafunzi hawezi kudahiliwa na kusoma vyuo viwili kwa wakati mmoja.
Ada kwa unit
Certificate, Diploma na Foundation ni 40,000 kwa unit
Bachelor degree- 60,000 kwa unit
Postgraduate Diploma- 180,000 kwa unit
Masters - 180,000 kwa unit
Foundation programme from OUT, ina jumla ya unit 12 ktk masomo 6 na kila unit inagharimu tsh.40,000Foundation Ina units ngapi