Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Ok, nawish kusoma degree ya technical education ambao msingi wake ni phy,math & Chen.Naomba kujua kama masomo n hayoo coverage yake inakua n ileile kam ya A- level au tofaut,ili nianze maandaliz mapema?
Technical open? Labda ungwini
 
Habari

Naomba kufahamishwa kuhusu ASSESSMENT YA SOMO LA UTAFITI (RESEARCH)

Je pamoja na kufanya Research yenyewe, huwa kuna MTT na ANNUAL kama kawaida?

Je huwa wanafunzi wanakuwa assigned SUPERVISOR wa research?

Anauliza mwanafunzi wa LL.B mwaka wa 3
Hakuna MTT labda kama wameanzisha Sasa hivi.
 
Wewe ni kilaza kweli.
Umeshindwa kupata taarifa kwenye Prospectus ya Open University?

Jibu ni kuna MTT na Annual pia Supervisor unakuwa allocated baada ya wewe kuapply kupitia email ya Research Coordinator ukiwa umeambatanisha matokeo yako ya SARIS.
Habari

Naomba kufahamishwa kuhusu ASSESSMENT YA SOMO LA UTAFITI (RESEARCH)

Je pamoja na kufanya Research yenyewe, huwa kuna MTT na ANNUAL kama kawaida?

Je huwa wanafunzi wanakuwa assigned SUPERVISOR wa research?

Anauliza mwanafunzi wa LL.B mwaka wa 3
 
dindilichuma NAOMBA UNISAIDIE
1. JE OFP UKIFAULU UNAWEZA KUSOMA CHUO KIKUU CHOCHOTE ,KM UDOM SIJAONA KM WANACHUKUA WENYE FOUNDATION
2. JE UNAWEZA KUJIUNGA NA CERTF OPEN UNIVERSITY KWA MATOKEO YA 3.24 FORM 4 ALAF ANA" C " 4 ILA ANA "F" YA MATH JE ANAWEZA KUJIUNGA KUSOMA CERTIFICATE IN COMPUTER SCIENCE AU IT AU ICT
3. KIVIPI UNAWEZA KUAPPLY FOUNDATION COUrse online mwenyewe
dindilichuma
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kupata mawasiliano ya mojakwa moja na muhusika yeyote WA chuo
 
dindilichuma NAOMBA UNISAIDIE
1. JE OFP UKIFAULU UNAWEZA KUSOMA CHUO KIKUU CHOCHOTE ,KM UDOM SIJAONA KM WANACHUKUA WENYE FOUNDATION
2. JE UNAWEZA KUJIUNGA NA CERTF OPEN UNIVERSITY KWA MATOKEO YA 3.24 FORM 4 ALAF ANA" C " 4 ILA ANA "F" YA MATH JE ANAWEZA KUJIUNGA KUSOMA CERTIFICATE IN COMPUTER SCIENCE AU IT AU ICT
3. KIVIPI UNAWEZA KUAPPLY FOUNDATION COUrse online mwenyewe
dindilichuma
Open Foundatio Course OFP inakuruhusu kuomba chuo chochote kilicho chini ya TCU.
anaruhusiwa kujiunga mwenye ufaulu walau wa principal pass moja na subsidiary moja ( Mfanano E na S) kwa form 6 na mwenye Diploma inayoanzia walau 2.0.

Kusoma ICT au computer science ni lazima uwe na pass ya Mathematics.
 
Wewe ni kilaza kweli.
Umeshindwa kupata taarifa kwenye Prospectus ya Open University?

Jibu ni kuna MTT na Annual pia Supervisor unakuwa allocated baada ya wewe kuapply kupitia email ya Research Coordinator ukiwa umeambatanisha matokeo yako ya SARIS.
Wanafunzi wanaolewa supervisor na kunakua na Research Viva ukishamakiza
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je unaweza kudahiliwa OUT ukiwa bado ni mwanafunzi wa chuo kingine? pia Ada kwa Units za bachelor ni bei gani?
 
Je unaweza kudahiliwa OUT ukiwa bado ni mwanafunzi wa chuo kingine? pia Ada kwa Units za bachelor ni bei gani?
Mfumo wa udahili vyuo vikuu kwa kozi za undergraduate uko centralised na unadhibitiwa na TCU.
Mwanafunzi hawezi kudahiliwa na kusoma vyuo viwili kwa wakati mmoja.

Ada kwa unit
Certificate, Diploma na Foundation ni 40,000 kwa unit
Bachelor degree- 60,000 kwa unit
Postgraduate Diploma- 180,000 kwa unit
Masters - 180,000 kwa unit
 
Hello,je Ni kozi gani nzuri za postgraduate diploma anaweza kusoma mtu aliegraduate degree ya science with education
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hello,je Ni kozi gani nzuri za postgraduate diploma anaweza kusoma mtu aliegraduate degree ya science with education
 
Mfumo wa udahili vyuo vikuu kwa kozi za undergraduate uko centralised na unadhibitiwa na TCU.
Mwanafunzi hawezi kudahiliwa na kusoma vyuo viwili kwa wakati mmoja.

Ada kwa unit
Certificate, Diploma na Foundation ni 40,000 kwa unit
Bachelor degree- 60,000 kwa unit
Postgraduate Diploma- 180,000 kwa unit
Masters - 180,000 kwa unit
Foundation Ina units ngapi?
 
Mfumo wa udahili vyuo vikuu kwa kozi za undergraduate uko centralised na unadhibitiwa na TCU.
Mwanafunzi hawezi kudahiliwa na kusoma vyuo viwili kwa wakati mmoja.

Ada kwa unit
Certificate, Diploma na Foundation ni 40,000 kwa unit
Bachelor degree- 60,000 kwa unit
Postgraduate Diploma- 180,000 kwa unit
Masters - 180,000 kwa unit
Foundation Ina units ngapi
 
Back
Top Bottom