King Mswat 11
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 207
- 319
Mkuu nashukuru sana nimefanikiwa na nimepata intake ya mwezi April Bach 3 bila maelezo yoyotepole jaribu kuingia katika Website ya OUT - admission panel na uwapigie simu kwa usaidizi zaidi
nenda katika OUT centre ya eneo ulipo ukiwa na admission letter yako(kama umeshatumiwa na kama bado subiri),kisha ukifika hapo watakufungulia akaunti ya SARIS na utajisajili katika masomo unayotakiwa kusoma kwa Semister husika na baada ya hapo utapata kuona kiasi cha ada ambacho utatikiwa kulipa,na utaenda katika ofisi za uhasibu kuchukua Control number na kufanya malipo ya kiasi unachohitaji alafu utarudisha Deposit Slip chuoni na utapewa Risiti ya Chuo yenye kuonyesha kiwango ulicholipa ,na baada ya hapo utakuwa umeshapatiwa mawasiliano na Coordinator wako na utaanza kupata uatartibu wa masomo kulingana na Level yako ya Masomo(Undergraduate au Postgraduate)Mkuu nashukuru sana nimefanikiwa na nimepata intake ya mwezi April Bach 3 bila maelezo yoyote
Naomba niulize baada ya hapa nini kinafuatia ili niangalie namna ya kupambana na yajayo.
Hivi prospectus ya 2024/2025 bado haijatoka?..baada
naona bado,ila unaweza kuendelea kutumia ya 2023/2024Hivi prospectus ya 2024/2025 bado haijatoka?..
ipo jaribu tu kutembelea Centre ya Arusha utapata msaada na maelezo ya kutoshaNataka nisome kozi ya human resource ila naishi arusha out wanayo hizi kozi ?
Mkuu samahani, naomba kuuliza kuwa hii kozi ya bachelor of science general ipoje maana nlivosoma prospectus yao cjaelewa kwamba unakuwa specfied katika somo moja ama mawili na kuhusu hizo practical znafanyikajenaona bado,ila unaweza kuendelea kutumia ya 2023/2024
Kwani kujiungana open nikiwana na diploma ya gpa 4.0 inawezekana auUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kweli sina uelewa nayo kabisa,ila unaweza kupiga simu chuoni moja kwa moja ukapata ufafanuzi wa kina,unaweza kuagalia katika Prospect ya hapo chini.Mkuu samahani, naomba kuuliza kuwa hii kozi ya bachelor of science general ipoje maana nlivosoma prospectus yao cjaelewa kwamba unakuwa specfied katika somo moja ama mawili na kuhusu hizo practical znafanyikaje
-Unaweza kusoma muhimu Commitments tuMkuu ninahitaji kusoma Bachelor of Laws (L.LB) hapo OUT. Ijapokuwa mimi ni mwajirwa na tayari nina degree nyingine. Je inawazekana hasa hapo kwny suala la muda?
Pia ni lini wanafunga udahili na lini masomo wanaaza?
inawezekana maana minimum GPA 2.7 kama sijakoseaKwani kujiungana open nikiwana na diploma ya gpa 4.0 inawezekana au
Mimi nimeomba postgraduate diploma in education, wameniambia ada ni 2,070,000 pamoja na direct cost so nataka kujua hii ada natakiwa niilipe kwa awamu ngapiinawezekana maana minimum GPA 2.7 kama sijakosea
Diploma to Degree minimum ni 3.0 GPA kwa vyuo vyote. Degree to Masters ndio minimum 2.7 kwa vyuo vyote Tanzaniainawezekana maana minimum GPA 2.7 kama sijakosea
Huwa wanalipa kulingana na Unit ulizo sajili, ni wewe tuu na muda wako na kipato chakoMimi nimeomba postgraduate diploma in education, wameniambia ada ni 2,070,000 pamoja na direct cost so nataka kujua hii ada natakiwa niilipe kwa awamu ngapi
Naomba namba yako ya simuHuwa wanalipa kulingana na Unit ulizo sajili, ni wewe tuu na muda wako na kipato chako
Huwa wanalipa kulingana na Unit ulizo sajili, ni wewe tuu na muda wako na kipato chako
Ndio hizo unalipa mwanzoni na si unajua PGD in mwaka mmoja tuu.Na je zile direct cost (exam fee, practical, plagiarism etc) ni lazima zilipwe mwanzoni?
Nini faida ya kusoma foundation course?Unataka kusoma chuo gani hiyo kozi baada ya kumaliza Foundation
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app