Diplopoda
Member
- Dec 25, 2020
- 45
- 42
Asant mkuuu wamenichaguaKama unasifa hauwezi kukosa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asant mkuuu wamenichaguaKama unasifa hauwezi kukosa mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza isoma hata ukiwa guest
Je naweza kuomba wkt wowote kujiunga na kozi yoyote??
Ushaambiwa 3.0Vipi Kama ukiwa na GPA 2.9 utawezaje kusoma na kupata degree?
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Tuwasiliane kwa ushauri zaidi juu ya kusoma.Vipi Kama ukiwa na GPA 2.9 utawezaje kusoma na kupata degree?
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Tuition fee jumla kwa miaka yote miwili ni 3,240,000Ada in bei gani kwa level ya master course ya master of education administration,policy,planning and study?
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Kwa waliosoma Bachelor Education wanaweza kusoma hiyo koziKuna course nimeipenda inaitwa master of education,administration,planing,policy and study nipe ABC kuhusu hiyo course
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Kuna intake nne kwa mwakaHapana, kuna muda maalum.
Mfano kipindi hiki kuna dirisha la maombiView attachment 1747869
View attachment 1747870
akikujibu naomba unitag tafadhaliMkuu dindilichuma naomba kufahamu yafuatayo.
1. Ada na michango mingine kwa kozi ya certificate in library and information studies ni kiasi gani?
2. Ada hiyo inalipwa kwa awamu ngapi? NA awamu ya kwanza inatakiwa kulipwa kiasi gani?
3. Je naweza kulipia ada za unit mbili kwanza nikazisoma na kuzifanyia mtihani kisha nikaendelea na kulipia unit nyingine na kuendelea kuzisoma?
4. Mtu mwenye diploma ya librarian and information studies anaruhusiwa kusoma fani zipi kwa level ya degree?
majibu tafadhali
Check hiyo attachmentMkuu dindilichuma naomba kufahamu yafuatayo.
1. Ada na michango mingine kwa kozi ya certificate in library and information studies ni kiasi gani?
2. Ada hiyo inalipwa kwa awamu ngapi? NA awamu ya kwanza inatakiwa kulipwa kiasi gani?
3. Je naweza kulipia ada za unit mbili kwanza nikazisoma na kuzifanyia mtihani kisha nikaendelea na kulipia unit nyingine na kuendelea kuzisoma?
4. Mtu mwenye diploma ya librarian and information studies anaruhusiwa kusoma fani zipi kwa level ya degree?
majibu tafadhali
Mie vp mbona hujanijibuCheck hiyo attachmentView attachment 1965900
Kuna intake nne kwa mwaka
October
January
April
July