KIBIKIMUNU
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 330
- 254
Nina shahada ya kwanza ya KILIMO , na GPA ya 4.2/5.0....ni kozi gani ya Masters naweza kusoma na Ada yake Ni kiasi GANI? Nipo tayari kukusikiliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama ya Ada huwa inategemea na programme haiko sawa kwa programme zote.Nina shahada ya kwanza ya KILIMO , na GPA ya 4.2/5.0....ni kozi gani ya Masters naweza kusoma na Ada yake Ni kiasi GANI? Nipo tayari kukusikiliza.
Vipi LLB ya hapo inakubalika kwa waajiri au vyuo vingine? Au magumashi?Hali ukimaanisha nini kiongozi
Kilimo? Masters ya nn? Nyie mwisho Bachelor tuNina shahada ya kwanza ya KILIMO , na GPA ya 4.2/5.0....ni kozi gani ya Masters naweza kusoma na Ada yake Ni kiasi GANI? Nipo tayari kukusikiliza.
Wapo wengi hadi PhDKilimo? Masters ya nn? Nyie mwisho Bachelor tu
Unatakiwa kusoma foundation course ili ukidhi mahitaji ya chuo au TCUGPA inayotakiwa kwa mujibu wa wasimamizi wa Vyuo vikuu (TCU)kwa mtu anaepaswa kudahiliwa Kutoka Diploma kujiunga na shahada ya kwanza (Bachelor degree) anapaswa kuwa na GPA ya kuanzia 3.0 zamani ilikua 2.7 lakini kuanzia mwaka wa masomo uliopita imewekwa GPA ya 3.0.
Alternative unaweza kufanya diploma nyingine upate GPA stahiki, au unaweza kufanya mtihani wa kidato cha sita na kupata sifa stahiki au unaweza kufanya mtihani wa RPL unaotolewa na TCU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Application kwaajili ya April intake zinaendelea.View attachment 2065860View attachment 2065861View attachment 2065862
Unadhani ni tatizo la chuo au la mtu binafsi!?Kuna jamaa angu anasoma out,yeye assignment zote anafanyiwa.huwa najiuliza mtu kama huyo atakaa awe competent kweli au anataka cheti tu?
Kusoma diploma ngazi zote ni either uwe na certificate au acsse wewe unavyo hivyo vitu kimoja wapo!?Nahitaji computer science ila nipa form 4 na Ni mwal pri. Naweza anzia diplom?
Nina certificate ya education . Nataka diploma ya IT. itakubalika?Kusoma diploma ngazi zote ni either uwe na certificate au acsse wewe unavyo hivyo vitu kimoja wapo!?
Duuuuuuuuuu,Kilimo? Masters ya nn? Nyie mwisho Bachelor tu
Nataka KUHAMIA taasisi ya utafiti wa kilimo, Masters angalau Ni the best katika post hiyo.Kilimo? Masters ya nn? Nyie mwisho Bachelor tu
Kama kaka yangu ana PhD yuko pale mkanyageniWapo wengi hadi PhD