and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Kuwa serious basi. Open mkopo wa nn Ada Bei chee hata Mama lishe anajilipia tu.Hivi mtu akishapiga faundation cozi akiunga degree vyuo vya kawaida anapata mkopo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa serious basi. Open mkopo wa nn Ada Bei chee hata Mama lishe anajilipia tu.Hivi mtu akishapiga faundation cozi akiunga degree vyuo vya kawaida anapata mkopo?
Acha uwongo, diploma ya pharmacy, nursing, Clinical medicine mpka laboratory ni D nne tu zile za Biology, chemistry, physics na Maths....!!!! Ndo ikawe hizo procurement na accountancy?????????Kusoma diploma ngazi zote ni either uwe na certificate au acsse wewe unavyo hivyo vitu kimoja wapo!?
August 2022Nauliza mtihani wa Odex mwezi wa ngapi?
Mkopo unapata bila shakaHivi mtu akishapiga faundation cozi akiunga degree vyuo vya kawaida anapata mkopo?
Certificate in Early Childhood Education ada sh ngapi?Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayefahamu kuhusu hili, anisaidieWakuu, heshima kwenu
Hivi transcript inatoka miezi mingapi baada ya kumaliza chuo/kufanya mitihani ya mwisho?
Mfano, kwa mtu anayesoma kozi ya miaka 3, akimaliza vyema mitihani yake mwezi March, katika mwaka wake wa tatu, transcript yake anaweza kupata lini?
Ingia kwenye website yao utakuta kila kituCertificate in Early Childhood Education ada sh ngapi?
Open university ni accredited university.Nikisoma hapo Open LLB itakubalika huko duniani au magumashi?
HujanielewaAcha uwongo, diploma ya pharmacy, nursing, Clinical medicine mpka laboratory ni D nne tu zile za Biology, chemistry, physics na Maths....!!!! Ndo ikawe hizo procurement na accountancy?????????
IT huwa wanazama computer lab. kama kawa.Nataka kusoma IT sijui kama open itanifaa
Inategemea na degree unayoenda kusoma baada ya foundationMsaada wakuu,Nina G.P.A ya 2.9 diploma ya phy & Math,nawish kujiunga na foundation ili kuweka mamb sawa,Coverage ya hiyo foundation kozi niliambiwa ni masomo sita, compulsory ni(Ds,ICT & CL) hayo mengine n yepi?
Ok, nawish kusoma degree ya technical education ambao msingi wake ni phy,math & Chen.Naomba kujua kama masomo n hayoo coverage yake inakua n ileile kam ya A- level au tofaut,ili nianze maandaliz mapema?Inategemea na degree unayoenda kusoma baada ya foundation
Biashara
Sanaa
Sayansi