Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Wakuu, heshima kwenu

Hivi transcript inatoka miezi mingapi baada ya kumaliza chuo/kufanya mitihani ya mwisho?

Mfano, kwa mtu anayesoma kozi ya miaka 3, akimaliza vyema mitihani yake mwezi March, katika mwaka wake wa tatu, transcript yake anaweza kupata lini?
 
Kusoma diploma ngazi zote ni either uwe na certificate au acsse wewe unavyo hivyo vitu kimoja wapo!?
Acha uwongo, diploma ya pharmacy, nursing, Clinical medicine mpka laboratory ni D nne tu zile za Biology, chemistry, physics na Maths....!!!! Ndo ikawe hizo procurement na accountancy?????????
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Certificate in Early Childhood Education ada sh ngapi?
 
Wakuu, heshima kwenu

Hivi transcript inatoka miezi mingapi baada ya kumaliza chuo/kufanya mitihani ya mwisho?

Mfano, kwa mtu anayesoma kozi ya miaka 3, akimaliza vyema mitihani yake mwezi March, katika mwaka wake wa tatu, transcript yake anaweza kupata lini?
Anayefahamu kuhusu hili, anisaidie
 
Habari

Naomba kufahamishwa kuhusu ASSESSMENT YA SOMO LA UTAFITI (RESEARCH)

Je pamoja na kufanya Research yenyewe, huwa kuna MTT na ANNUAL kama kawaida?

Je huwa wanafunzi wanakuwa assigned SUPERVISOR wa research?

Anauliza mwanafunzi wa LL.B mwaka wa 3
 
Msaada wakuu,Nina G.P.A ya 2.9 diploma ya phy & Math,nawish kujiunga na foundation ili kuweka mamb sawa,Coverage ya hiyo foundation kozi niliambiwa ni masomo sita, compulsory ni(Ds,ICT & CL) hayo mengine n yepi?
 
Msaada wakuu,Nina G.P.A ya 2.9 diploma ya phy & Math,nawish kujiunga na foundation ili kuweka mamb sawa,Coverage ya hiyo foundation kozi niliambiwa ni masomo sita, compulsory ni(Ds,ICT & CL) hayo mengine n yepi?
Inategemea na degree unayoenda kusoma baada ya foundation
Biashara
Sanaa
Sayansi
 
Inategemea na degree unayoenda kusoma baada ya foundation
Biashara
Sanaa
Sayansi
Ok, nawish kusoma degree ya technical education ambao msingi wake ni phy,math & Chen.Naomba kujua kama masomo n hayoo coverage yake inakua n ileile kam ya A- level au tofaut,ili nianze maandaliz mapema?
 
Back
Top Bottom