Kwa stori tunazozisikia mitaani kuhusu tafsiri ya MAFIGA MATATU ni kuwa , binti wa kizaramo, anapoolewa, huwa anaelekezwa na kungwi wake kuwa, asiwe fully dependant kwa mumewe 100%...mkuu " kijanamtanashati"
nini maana ya sentensi "MFIGA MATATU"
mbona bado twavishuhudia vigodoro? Vikuku? Viduku? Kusasambua? Na kumwaga radhi? Mchana kweupe wamama wazima.
Umefanya utafiti na ukagundua vigodoro ni ya Wazaramo tu? Mi nadhani hauko sahihi, vigodoro ni cultural evolution, ni utamaduni mpya uliozalishwa na hali ngumu ya maisha na ujinga wa Watanzania.
Nawashauri vijana wote wavivu waende kuoa wazaramo wakwe wanagharamia sherehe za harusi furniture pamoja na shopping ya bibi harusi, unakuwa huna gharama ya kumnunulia nguo mkeo kwa miaka walau miwili, ila lazima uwe na bajeti ya pesa za kumpa mkeo kununuwa sare za ngomani kila baada ya wiki mbili.
Kuna wazaramo wakristo aka makafir
Kuna wazaramo wakristo aka makafir
Mashwain ndio wengi.
kwanini ni wavivu, hamsomi,wambea,majungu,ukuda,na washankupe??
hebu nijuze mkuu,nasikia ni watamu kwa kulumangia hao
Siku hizi mmepunguza kunema wali? Shauri ya shule?
kwa nini kikwete nchi imemshinda
kwanini wazaramo wote ni waislam?
Ahahaha hizi mbona ni ni tabia za asilimia kubwa ya watanzania, wazaramo mi naona tunawaona tu.
Je,ni malipo gani anayotakiwa kupewa na mwali yule mtu anayembeba mwali shingoni ili aneme,siku mwali anapotoka ngomani(mkole)?
Nalog off