Uliza chochote kuhusu Wazaramo

wazaramo kweli wanawake wao wana uwezo wa kukataa mwanaume mana

wana nini kwan? mimi navyojua wanawake wote wanawakataa wanaume wanaowatokea ikiwa hawaja pendezwa nao labda hyo mwanamke awe changudoa ndio hawez kukataa. sidhan hil nalo linahusiana na kabila fulan?
 

Ahahahahaha
 
Kijiji gani ambacho kinadumisha mila za kizaramo mpaka leo... na nkitaka kujifunza lugha yao naweza nkaenda nikakijua faasta.
 
Kwanini wapiga Ngoma hukaa kwenye kitanda cha kamba wakati wa kupiga ngoma ? Hasa zile za kukesha.
 

Hivi wazaramu wana ushirikina kweli... Huko kwao bara tusemeje [emoji23][emoji23] mpaka kuuwana kuchukua viungo mara ngozi khaa yao hawayaoni [emoji57]... Ukija uvivu huko kwao bara wanashinda kwenye vilabu vya pombe mpaka serikali inawafuatilia... Wazaramu hulka yao ni watu wa kuridhika hamuombi mtu hata kama anacho kidogo na sioni kama ni dhambi
 
wazamo pengine ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda chini sana, si wanaume si wanawake..,sababu ni nini hasa?

Mbona sio wa hanga wa gonjwa lile kubwa... Mtukome wazaramu nyie watu wa bara[emoji23][emoji23][emoji23] mnayenu mabaya kibao mmeyakalia kila leo wazaramu [emoji57][emoji23]
 
Hivi wazaramo kama wazaramo wako mwaneromango, je bagamoyo mlingotini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…