Uliza chochote kuhusu Wazaramo

Uliza chochote kuhusu Wazaramo

wazaramo kweli wanawake wao wana uwezo wa kukataa mwanaume mana

wana nini kwan? mimi navyojua wanawake wote wanawakataa wanaume wanaowatokea ikiwa hawaja pendezwa nao labda hyo mwanamke awe changudoa ndio hawez kukataa. sidhan hil nalo linahusiana na kabila fulan?
 
Nawashauri vijana wote wavivu waende kuoa wazaramo wakwe wanagharamia sherehe za harusi furniture pamoja na shopping ya bibi harusi, unakuwa huna gharama ya kumnunulia nguo mkeo kwa miaka walau miwili, ila lazima uwe na bajeti ya pesa za kumpa mkeo kununuwa sare za ngomani kila baada ya wiki mbili.

Ahahahahaha
 
Kijiji gani ambacho kinadumisha mila za kizaramo mpaka leo... na nkitaka kujifunza lugha yao naweza nkaenda nikakijua faasta.
 
Kwanini wapiga Ngoma hukaa kwenye kitanda cha kamba wakati wa kupiga ngoma ? Hasa zile za kukesha.
 
sio kweli ila wazaramo wengi hawapendi kazi za kuajiriwa huwa wanajiajiri wenyewe na shughuli zao mara nyingi zinakua karibu na nyumbani kwao. ndio mana wanaonekana hawajishughulishi kwa vile mda mwing wanaonekana around na nyumbani. suala la ushirikina ni hulka ya watanzania wote ukizngatia wanawake.

Hivi wazaramu wana ushirikina kweli... Huko kwao bara tusemeje [emoji23][emoji23] mpaka kuuwana kuchukua viungo mara ngozi khaa yao hawayaoni [emoji57]... Ukija uvivu huko kwao bara wanashinda kwenye vilabu vya pombe mpaka serikali inawafuatilia... Wazaramu hulka yao ni watu wa kuridhika hamuombi mtu hata kama anacho kidogo na sioni kama ni dhambi
 
wazamo pengine ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda chini sana, si wanaume si wanawake..,sababu ni nini hasa?

Mbona sio wa hanga wa gonjwa lile kubwa... Mtukome wazaramu nyie watu wa bara[emoji23][emoji23][emoji23] mnayenu mabaya kibao mmeyakalia kila leo wazaramu [emoji57][emoji23]
 
Hivi wazaramo kama wazaramo wako mwaneromango, je bagamoyo mlingotini?
 
Back
Top Bottom