GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kitu gani cha muhimu zaidi kukifanya duniani
Kwenda kuishi njia panda za Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani cha muhimu zaidi kukifanya duniani
Imani ni kile UNACHO KISIMAMIA...!Imani ni nini
HapanaNaomba kuuliza "Je kupenda ni Hatia???"
Hiyo ni emoji ya SOKIO...![emoji101]
Hii ndio tafsir sahihi? Daaah basi kama masihara nimepata kitu cha kujifunzaNi kitendo cha kuchukua kiasi kikubwa cha pesa za umma kwa maslahi binafsi.
Kuchukua hela sehem tofauti na ulipozalishia na kuziingiza kwenye mzunguko kinyume na utaratibu huku ukiamanisha watu kwamba hela hyo imetoka hapo hapo ktk hyo ofis,kama akina aveva na kaburu wanachoshtakiwa nacho,au aliekua mume wa KajalaNingependa kufahamu maana ya kutakatisha fedha
Samahani mkuu kuna jamaa wale wa mpira wao nasikia gharama ilikuwa ndogo wao wakaandika kubwa nako ni kutakatisha hela?Ni kitendo cha kuingiza katika mzunguko/mfumo halali wa kifedha fedha zilizopatikana kwa njia haramu.
Kama mwenzako ana njonzi/ndoto nzuri, zenye maono ya muelekeo wa kimaendeleo.Je Magufuli ana njozi ipi kuhusu Tanzania?
Maana kila kitu anafanya kile cha Nyerere alichokuwa anafikiria
Lol, [emoji23]Kamuulize Rais wa TLS.
kama ni hapana, why she akimpenda she au he akimpenda he inakua ni hatia nzito?Hapana
Hapana, wamemuwahi leo, lolNaomba kufahamu, Je Joseverest amefanikiwa kuwa muulizaji wa kwanza kwenye uzi huu..!?
Roho yako mbaya kama jina lakoKwenda kuishi njia panda za Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
Naassume unamaanisha upendo wa kimapenzi.kama ni hapana, why she akimpenda she au he akimpenda he inakua ni hatia nzito?
exactly upendo wa kimapenzi,Naassume unamaanisha upendo wa kimapenzi.
Ni kwakua kuna maadili na taratibu ambazo zinatuzuia kufanya baadhi ya vitu, kutia ndani watu wa jinsi moja kupendana.
Kijamii unasurrender haki zako zote kwa dola ambayo in turn inakuhakikishia ulinzi, na yenyewe itapanga ili upate ulinzi wake inatakiwa wewe uweje.exactly upendo wa kimapenzi,
Maadili, i thout kupenda ni kupenda kumbe maadili yanabagua aina ya kupenda means kupenda ni hatia kwa wengine na ni halali kwa wengine.
oopss, thank you,Kijamii unasurrender haki zako zote kwa dola ambayo in turn inakuhakikishia ulinzi, na yenyewe itapanga ili upate ulinzi wake inatakiwa wewe uweje.
Kwa Tanzania hautakiwi kujihusisha na upendo wa hivyo. Ili wenyewe wakupe ulinzi.
Kwa South Africa ni ruksa na ulinzi utapata, ila wanajamii bado wameshikwa na mazoea ya zamani hivyo kuna killings za hapa na pale.
So ni mpaka litakapokua eneo ambalo halina dola ndipo utaweza fanya kila unachotaka bila kuhojiwa
What do you believe?oopss, thank you,
one day the society will understand that those people "they didn't choose that life, that life chose them"
Kupanda mlima mpaka mwisho wakeNingependa kujua maana halisi ya kufika KILELENI!!!!