FLASH HIDER
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 397
- 508
- Thread starter
- #561
Kiu yao ilikuwa nini nini?
kweli ni mwisho lakini tatizo halija tatuliwa,umemkimbiza M23 na amehama mzima mzima ikimaanisha kwamba hajatoweka kesho kesho kutwa atarudi,kinacho wauma FRANCE NA SADC nia yao haikua M23 nikama vile ulikua na kiu ukapewa kidogo na kunyan'ganywa kabla hauja maliza kiu.