Kazi mliyotumwa mmemaliza,sasa ni wakati wa kusaini mkataba wa amani na kutekeleza mara moja,na kwa jinsi mkataba ulivyo M23 IMESHINDA kwani waliyokua wakilalamikia yamo kwenye mkatabahuo na congo ikisaini itakua ushindi kwa M23,always congo husikia kwa njia ya mtutu,sasa wengine waliofikiria kua vita itaingia rwanda wasahau kabisa.
Msalimie Paul Kagame. Tell him one more operation remains
kweli hata mimi naona m23 wameshinda kwa kukimbia na kukubali ku simamisha vita bila masharti yoyote, na ikiwezekana ku sign mkataba wa amani bila ma sharti yoyote. hilo ni hatua ya kwanza, ya pili ndio ku dis arm vikundi vingine, hii ipo katika maazimio ya sadc sio ya kampala, na pia katika mpango wa serikali ya DRC, ya kuleta umoja ndani ya Kongo ambayo hayo mazungumzo haya kushirikisha m23. kwa sababu walikuwa wanataka wembe uwakate nyero kidogo.Kazi mliyotumwa mmemaliza,sasa ni wakati wa kusaini mkataba wa amani na kutekeleza mara moja,na kwa jinsi mkataba ulivyo M23 IMESHINDA kwani waliyokua wakilalamikia yamo kwenye mkatabahuo na congo ikisaini itakua ushindi kwa M23,always congo husikia kwa njia ya mtutu,sasa wengine waliofikiria kua vita itaingia rwanda wasahau kabisa.
ni kweli mmetupiga ndio maana PK kashindwa kwenda kwenye mkutano, na M7 anaongele haki za Banyamulenga, kwani wamemtuma kuwa semea? na ku dharau za FDLR.Hiyo operation imeishaharibika haita wezekana tena,ingewezezekana wakati ule wa M23 ikipigania mpakani mwa rwanda lakini sasa haiwezekani,hivi mkilianzisha ni kulielekeza linakotokea halafu msikilize mziki kwani naona mnahamu sana ya kichapo.
Vilevile HUTU Empire haiwezekani,hivi FDLR wote inatakiwa kukamatwa,ahadi zote walizo pewa na kikwete zimekula kwao.
​Hii ni baada ya kichapo ndo wamenyoosha mikono..hata BBC News at Ten leo wamesema jamaa wa M23 wamechapwa hadi wamesalimu amri na viongozo wao wamekimbilia Rwanda na Uganda..chezea JWTZ wewe!!ANNONCE DE FIN DE RÉBELLION
La Direction du Mouvement du 23 Mars annonce à l'opinion nationale et internationale qu'elle a décidé à dater de ce jour de mettre un terme à sa rébellion et de poursuivre, par des moyens purement politiques, la recherche des solutions aux causes profondes qui ont présidé à sa création.
A cet effet, le Chef d'Etat-major Général ainsi que tous les commandants des grandes unités de l'Armée Révolutionnaire Congolaise sont priés de préparer les hommes des troupes au processus de désarmement, démobilisation et réinsertion sociale dont les modalités sont à convenir avec le Gouvernement de la République Démocrat...
See More
ANNOUNCEMENT of end of REBELLION the Direction of movement of 23 March announced at the national and international opinion that it has decided from this date to end his rebellion and continue the search for solutions to the root causes that led to its creation through purely political means.
For this purpose, the Chief of General staff as well as all commanders of large units of the revolutionary Congolese army are asked to prepare men of the troops to the process of disarmament, demobilization and reintegration including the terms are to be agreed with the Government of the Democratic Republic of Congo.
Done at Kampala, November 05, 2013 the President of the movement of the 23 March Bertrand BISIMWA (Translated by Bing)
Tatizo halijaisha.This is just a step forward.Tuingie kwenye hatua ya pili muhimu zaidi.We have to stabilize DRC and destabilize Kagame regime(not Rwanda).This is going to be a big war more than the one we have won on the battlefield today.Going from combat to covert operations.
Tatizo halijaisha.This is just a step forward.Tuingie kwenye hatua ya pili muhimu zaidi.We have to stabilize DRC and destabilize Kagame regime(not Rwanda).This is going to be a big war more than the one we have won on the battlefield today.Going from combat to covert operations.
You are very right. Now its time to destabilize Rwanda and Uganda at the same time.
Ebu tueleze kichapo walichopata FIB kilikuwaje? Operesheni ipo pale pale Stsy tunedHiyo operation imeishaharibika haita wezekana tena,ingewezezekana wakati ule wa M23 ikipigania mpakani mwa rwanda lakini sasa haiwezekani,hivi mkilianzisha ni kulielekeza linakotokea halafu msikilize mziki kwani naona mnahamu sana ya kichapo.
Tatizo halijaisha.This is just a step forward.Tuingie kwenye hatua ya pili muhimu zaidi.We have to stabilize DRC and destabilize Kagame regime(not Rwanda).This is going to be a big war more than the one we have won on the battlefield today.Going from combat to covert operations.
You are very right. Now its time to destabilize Rwanda and Uganda at the same time.
​Hii ni baada ya kichapo ndo wamenyoosha mikono..hata BBC News at Ten leo wamesema jamaa wa M23 wamechapwa hadi wamesalimu amri na viongozo wao wamekimbilia Rwanda na Uganda..chezea JWTZ wewe!!
Hawaja kimbilia rwanda wako congo ndani ya virunga mountains,na kusalimu amri lilikua sharti la SADC ili congo isaini mkataba,elewa kwamba SADC wasinge lainika wakati wote M23 ingeendelea kujiweka juu na ukumbuke hayo majeshi ya SADC wamepoteza askali wengi katika hayo mapigano na wakagundua hii vita inaweza kuchukua muda mrefu na kuwa cost mengi,sasa ili yaishe kwa faida ya pande zote M23 imekubali kuweka silaha chini na kabila atasaini mkataba na kutatua matatizo ya wanakivu ambapo FDLR,ADF watakamatwa na kurudishwa makwao,je huoni huo ushindi?
kuna jambo hapa linanitatiza;-YOEL M7 WAKATI AKIONGEA JANA S.A,ALISEMA KABILA LAZIMA AHAKIKISHE ANAONGEA VEMA NA VIKOSI VYA M23<ambavyo ni katili> KWA SABABU NI RAIA WA CONGO NA SI KUVISUKUMIA RWANDA AU UGANDA,sasa swali langu?;kwanini ushauri kama huu hakumpa paul kagame ili naye aongee na fdlr warudi rwanda kwa sababu kongo sio kwao?<tuweke pembeni genocide>
Hawaja kimbilia rwanda wako congo ndani ya virunga mountains,na kusalimu amri lilikua sharti la SADC ili congo isaini mkataba,elewa kwamba SADC wasinge lainika wakati wote M23 ingeendelea kujiweka juu na ukumbuke hayo majeshi ya SADC wamepoteza askali wengi katika hayo mapigano na wakagundua hii vita inaweza kuchukua muda mrefu na kuwa cost mengi,sasa ili yaishe kwa faida ya pande zote M23 imekubali kuweka silaha chini na kabila atasaini mkataba na kutatua matatizo ya wanakivu ambapo FDLR,ADF watakamatwa na kurudishwa makwao,je huoni huo ushindi?
ni kweli mmetupiga ndio maana PK kashindwa kwenda kwenye mkutano, na M7 anaongele haki za Banyamulenga, kwani wamemtuma kuwa semea? na ku dharau za FDLR.