mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 728
Dreaming is allowed in here.
jipe moyo, hamna ambalo Tanzania ilishawahi kulisimamia na kuliamini likashindikana , pk na m 7 laima warudi porini kama mizinga yetu itawaponyesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dreaming is allowed in here.
Hana haja yakwenda SA kwani huyo ZUMA,KIKWETE ndio mafisa mipango ya ku distabilize Rwanda,mzee pk hawezi kaa meza moja na hao watu kama hao,cha muhimu mushikiwabo alimuakilisha na mpango mzima wa hao jamaa ku distabilize rwanda umeharibika.
Hiyo operation imeishaharibika haita wezekana tena,ingewezezekana wakati ule wa M23 ikipigania mpakani mwa rwanda lakini sasa haiwezekani,hivi mkilianzisha ni kulielekeza linakotokea halafu msikilize mziki kwani naona mnahamu sana ya kichapo.
Hana haja yakwenda SA kwani huyo ZUMA,KIKWETE ndio mafisa mipango ya ku distabilize Rwanda,mzee pk hawezi kaa meza moja na hao watu kama hao,cha muhimu mushikiwabo alimuakilisha na mpango mzima wa hao jamaa ku distabilize rwanda umeharibika.
Mkuu wewe ni mchabuzi wa ukweli. Na pia ni kwanini PK nae alivyoambiwa kuwa aongee na FDLR alikuwa mkali?
Leo nimesoma tamko rasmi la Serikali ya DRC nimecheka sana, wanadai sasa siyo :smiling:agrement bali ni :confused2:declaration kwasababu huwezi kufanya agreement na kitu kisichokuwepo........
Wana JF, nadhani huyu MUKAMASIMBA ana matatizo yake. Viongozi wa M23 wameeleza kuwa wamepigwa na sasa wapo tayari kusaini mkataba bila masharti yoyote, wewe unakataa. Labda uwe ni kiongozi wa juu kabisa wa M23.
Pole saana Mukumasimba, kweli Watusi ni watu ila kuna wakuu wamebeba jukumu la kuwatetea huku wakiangamiza
Watu wengine kwa nia mbaya!!
Hao wanaleta chuki kwa wapenda
Amani!!
hayo ya FLDR na ADF kurudishwa kwao ni matakwa ya watusi wa rwanda na waliolowea uganda na si ya wacongoman. FLDR, ADF watarudi kwao kuchukua nchi kutoka katika serikali dhalimu za pk na m 7
Wana JF, nadhani huyu MUKAMASIMBA ana matatizo yake. Viongozi wa M23 wameeleza kuwa wamepigwa na sasa wapo tayari kusaini mkataba bila masharti yoyote, wewe unakataa. Labda uwe ni kiongozi wa juu kabisa wa M23.
Pole saana Mukumasimba, kweli Watusi ni watu ila kuna wakuu wamebeba jukumu la kuwatetea huku wakiangamiza
Watu wengine kwa nia mbaya!!
Hao wanaleta chuki kwa wapenda
Amani!!
hayo ya FLDR na ADF kurudishwa kwao ni matakwa ya watusi wa rwanda na waliolowea uganda na si ya wacongoman. FLDR, ADF watarudi kwao kuchukua nchi kutoka katika serikali dhalimu za pk na m 7
Basi kaa kimya, tuendelee kusubiri wajipange !...Kwa hiyo wale hata ufanyeje pale ni kwao hapa wamerudi nyuma, watajipanga halafu utaniambia. ...
Hana haja yakwenda SA kwani huyo ZUMA,KIKWETE ndio mafisa mipango ya ku distabilize Rwanda,mzee pk hawezi kaa meza moja na hao watu kama hao,cha muhimu mushikiwabo alimuakilisha na mpango mzima wa hao jamaa ku distabilize rwanda umeharibika.#*#UNAMAANISHA ILI RWANDA IWE STABLE NI LAZIMA KU-DISTABILIZE DRC?
Hana haja yakwenda SA kwani huyo ZUMA,KIKWETE ndio mafisa mipango ya ku distabilize Rwanda,mzee pk hawezi kaa meza moja na hao watu kama hao,cha muhimu mushikiwabo alimuakilisha na mpango mzima wa hao jamaa ku distabilize rwanda umeharibika.
Bora hata ya hawa wengine. Wewe nilishasema hapa kuwa ni interahamwe uliyejificha huko tanzania. watu wakae wanajua kuwa unatafuta sympathy ya watanzania ili wakusaidie urudi rwanda. sasa ndoto yako haitafanikiwa labda ujisalimishe mwenyewe tuchunguze kama hukuua watu mwaka 1994
Hana haja yakwenda SA kwani huyo ZUMA,KIKWETE ndio mafisa mipango ya ku distabilize Rwanda,mzee pk hawezi kaa meza moja na hao watu kama hao,cha muhimu mushikiwabo alimuakilisha na mpango mzima wa hao jamaa ku distabilize rwanda umeharibika.
Sasa ilikuaje hakwenda?Kile ni kikao cha ma rais. PK alitakiwa awepo bila kukosa.